Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wanaume tumeisha kabisa .Daah wanaume tumepungua sana I see!
Kukosa kifua cha kuhifadhi ni udhaifu mkubwa sana
Tumwombe mungu sana kwa hili kakàDaah wanaume tumepungua sana I see!
Kukosa kifua cha kuhifadhi ni udhaifu mkubwa sana
Hahaha kwa hiyo ngoma droo.....wahayaNawe ni muhaya mwenzie?
[emoji106]Daah wanaume tumepungua sana I see!
Kukosa kifua cha kuhifadhi ni udhaifu mkubwa sana
Umemaliza kabisa aisee. Naishia kwenye comment yako tu bas.Daah wanaume tumepungua sana I see!
Kukosa kifua cha kuhifadhi ni udhaifu mkubwa sana
Ndo maanaNdiyo
Hahahaa mkuu kama mzuri c akashiriki mashindano ya urembo ..mwanaume hajisifii uzuri bhanaHaya matangazo kuwa jamaa mzuri hivyo wadada jiongezeni tena hapo.
[emoji106]Wanaume halisi inabidi serikali ijitihada kwa kina kutuweka makumbusho ya taifa kwani mpaka 2030 nchi hii itakuwa na vijianaume uchwara kama mleta mada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa maisha haya mkuuutakuwa mzuri , ndio kuna sura zingine zinapendwaga tu hazinaga hata kumi lakini ndo ivyo
Dunia imebadilika sasa hivi kila kitu kinawezekana,usikute hapo anataka wa kumlea.Hahahaa mkuu kama mzuri c akashiriki mashindano ya urembo ..mwanaume hajisifii uzuri bhana