Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘STORRY qali mno daah,pamoja kaka,huu ujambazi niwakisenge mno
 
Alitakiwa aedit matukio ya ukweli ili yaendane na your hollywood mindset?

FYI simu zinatumila sana kwenye uhalifu kwenye kuchonga raket lazima kuwe na muhuni mmoja anaetoa signal mkuje au mle buyu
 
[emoji1483]
 
Duuh kama Mungu mmeachana na michongo hiyo then kikanuka.
 
Lini utatuletea ile story ya kutembea na yule mke wa mtu ambae alikuwa ni mteja wako mkubwa wa Bodaboda yako?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Reactions: Lee
Kiss kingine zaidi y hiki? Unamtakia kifo wewe, lete nawewe kisa kimoja tuu hata kama cha kumwagikiwa na Chai ya moto.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ jamani.
Visa ninavyo halafu vya hatari. Tatizo siwezi kuhditlhia kwenye mtiririko murua kama huu. Nitaboa halafu nitachoka kuandika.
 

Ukweli tumejifunza, kwangu mimi nimejifunza adhabu ya kufukuza mtoto haifai na sitokuja kuifanya, ingawa watoto wangu sijaona mkorofi ila hata nikisikia jirani au mtu ninayemfahamu kafukuza mtoto kisa kafanya kosa nitamwendea na kutumia funzo la UMUGHAKA kumwomba abadili adhabu.

Barikiwa sana kijana.
 
๐Š๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ฌ๐ข๐ฃ๐š๐ฐ๐š๐ก๐ข ๐ค๐ฎ๐ข๐Ÿ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฆ๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐ข๐ฌ๐จ๐ฆ๐š ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐จ ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ก๐š๐ฉ๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ข๐ค๐จ ๐ฏ๐ณ๐ซ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐š๐š ๐ฎ๐ญ๐ž๐ง๐ ๐ž๐ง๐ž๐ณ๐ž ๐ฌ๐จ๐Ÿ๐ญ ๐œ๐จ๐ฉ๐ฒ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฎ๐ฌ๐ก๐š๐ฎ๐ซ๐ข ๐ญ๐ฎ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendeleea>
Baada ya kuingia serengeti,gari lilisimama parking,yule jamaa tuliyemkuta kwenye gari alishuka na kuelekea toilet.

Mtatiro aka niambia umughaka,safari hii ni ndefu sana inabidi tupate kitu ili tuweke tumbo sawa,yule dada aliyekuwa dereva akasema msijali tushajianda sawa,kuhusu maswala ya chakula.

Alitoa mfuko ukiwa na mikate,na soda zile kubwa za chupa,tulipokuwa tunaendelea kula yule jamaa aliyeshuka kwenda toilet alikuja akaungana nasi,tulikula mpaka kila mtu akaridhika.

Yule dada akatuambia sasa tupo tayari kuanza safari,dada alitekenya ufunguo,tukaondoka zetu.

Tulisafiri kwa mda mrefu sana,tulipiga story na mtatiro kuhusu mambo mengi sana,alini hadithia story ya demu wake aliyependa mapenzi kuliko chakula,mtatiro anasema demu wake huyo alikuwa anafanya mapenzi kama dozi asubuhi mchana na jioni.

Mtatiro Ali niambia brother alisanda kule alipokuwa anatafuta madini,walipiga kazi mpaka pesa zikakata ikawa hakuna chakula,wale waliokuwa wanafanya naye kazi walimkimbia,akabaki pekee yake ikabidi naye asepe,migodi ikafungwa.

Tulifika ngorongoro mida ya saa 8 mchana tukiwa tumechoka sana,tulienda toilet baada ya kurudi safari iliendelea tena.
 
Sasa ana observe kwa faida ya nani ila wabongo bhana mnapendaga kuichosha akili yenu asee
Acha wenye akili watumie. Nyie ambao ambao hamtaki ichosha ndo inaganda...na watanzania wengi wana akili mgando ni kama mazombie.
 
Reactions: ARV
UMUGHAKA kapiga kimya tu atapitia sifa zake kimya kimya.
 
Sasa ana observe kwa faida ya nani ila wabongo bhana mnapendaga kuichosha akili yenu asee
YAP...MTU MAKINI LAZIMA UICHOSHE AKILI (sio mwili) VIJANA WA AINA YENU NA WENGI HAPA JAMIIFORUMS NI GABBAGE IN GABBAGE OUT.
WENGI NIMEONA HAPA WANASIFIA "Umughaka, Mtatiro, Gabi, Jipe nyie ni mwamba" YAANI TUNASIFIA MTU KUWA JAMBAZI, KUUA WATU, KUSABABISHIA WATU VILEMA NA KUPORA MALI ZA WATU WALIZOTAFUTA KWA JASHO. MTU MAKINI HAPA ANGESEMA UMUGHAKA POLE NA USIRUDIE TENA HUO UHARAMIA. GREAT THINKERS WANASIFU NA WANATAMANI ANGEENDELEA NA UPORAJI.
 
Mama yako mkubwa, hakukutafuta kipindi chote hiko ulichosepa na Rafiki yako? Maana ulindoka ghafla, ukamwacha mtoto wa Ma mkubwa wako akichunga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ