Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mbona umekua na kiherehere sana kwa umughaka anagalia asije akakupiga mbupu, unajipa umuhimu kwake ambao hauna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwana acha matusi dhidi yangu kwamba mm najipendekeza kwa umaghaka
 
Yaani nilikuwa nasoma ila image inakuja kichwani kama movie yaani [emoji1] hongera sana mkuu umetupa elimu, na burudani kwa pamoja haya mapito ni darasa kubwa kwa vijana wa kileo kwamba amna kinachokuja kirahisi kikakaa milele kwenye maisha yako kikubwa tufanye kazi
 
Sasa mtu ameachana na rafiki yake akiwa anaumwa na simu imepigwa kutokea Bugando Hospital, logically alishajua jamaa yake Mtatiro amezidiwa.
Manjagu wangekuwa wanamsubiri pale getini Bugando na wangemkamata kama kuku.
 
Umughaka, unakipaji kikubwa sana, hadithi imekidhi vigezo kwa kugusa nyanja mbalimbali za maisha yetu.

Nimeburudika, nimejifunza na kuelimika. Barikiwa sana sana!
Nashukuru umetumia neno "hadithi". Kila mtu anajua maana ya hadithi.
 
Huu ndio ujuaji wa kijinga kila mda tunauzungumzia. Mbona mnajikuta ma-director sana kwenye kibwebwe kisicho wahusu. Mkiona ana puyanga si mkae muandike za kwenu kisha mziweke vile mnavyotaka ziwe?

Kwenye mtiririko wa story ake kuna mahala aliposema ye ni Jambazi konki? Kuna chuo amekwambia au amesimulia kua alienda kusomea ujambazi hivo keshakua Pro so hakupaswa kufanya mistake alizofanya?

Na namna mnavyoziona hizo mistake za kihalifu so mnataka kutushawishi tuone kua nyie ndio mijambazi mlio kubuhu so mnazijua mbinu zote au vp?

Waswahili tuna shida gani lakini? Mnachowashwa kitu gani kwani? Kama story mnaona ina chai nyingi si mpite tu kule kimya kimya [emoji1787]...

Em acheni ujuha wa kipumbafu, kaandikeni zenu basi zilizo 100% perfect. Mnaboa sana! Huo ujuaji wenu em uwekeni kwenye maisha yenu ya kila siku yawe perfect ili msikae jukwaani mnasubiri story za uongo!

Mijitu mizima ya hovyo kabisa, wakati wengine wanasoma kujiburudisha yenyewe yanasoma kutafuta makosa utafikiri yanafanya udahili wa waandishi. Hivi na huko mtaani kwenu mnaishije na jamii zenu watu wa aina yenu mmh?
"Kama mnaona story ina chai nyingibsi mpite tu kimya kimya"
NDUGU YANGU NIKUJULISHE TU, SISI SIO KIZAZI HICHO CHAKO, SISI SIO KIZAZI CHA "ndio bwana mkubwa" KITU KAMA NI SAWA TUNASEMA NI SAWA KAMA SIO TUNASEMA SIO, TENA WAZIWAZI.
 
My MCE (man crush everyday ) ni UMUGHAKA
Tena wewe ni JF man of the year kwa maoni yangu. Wanaume wengi wanaposimulia simulizi kama hizi mara nyingi huwa wanasusa kutokana na kelele na kukatishwa tamaa na wana JF wenye mdomo ila wewe umekaza hasa hadi umemaliza. Wewe ni kidume na nusu.
Shukrani sana UMUGHAKA

Wakurya katika makuzi yao, moja ya mwiko namba moja kwao ni kutokususa kwa lolote! Mimi sijamshangaa kabisa! Imagine mwanaume wa kizaramo asingefika hata sehemu ya nne
 
UKO KWENYE GENGE LA UJAMBAZI, UMETOKA KUFANYA UJAMBAZI. UNAPIGIWA SIMU NA MTU HUMJUI (ingawa alitumia simu ya mtu wako) ANAKUAMBIA UJE SEHEMU FULANI, UNAFUNGA HARAKA BIASHARA NA KUJIPELEKA..
emoji38.png
emoji38.png
.

INAWEZEKANA HUYO MTATIRO KAKAMATWA NA AMEBANWA ATAJE WASHIRIKA WAKE WA UJAMBAZI, UMUGHAKA UNAJIPELEKA!!!!! JAMBAZI HAWEZI KUWA NA AKILI YA HOVYO HIVI.

Sauti "Wewe bila shaka ni Umughaka"

Mimi "Ndiyo"

Sauti "Hebu kama unaweza njoo hapa Bugando"

Mimi "Niko mbali kidogo"

Sauti "Uko nje ya Mwanza?"

Mimi "Nipo Hungumalwa"

Sauti "Jitahidi ufike haraka"

Sikutaka kupoteza muda pale mnadani,nilichukua mzigo wangu nikaufunga
We umeshindwa kuelewa mwenzake aliondoka akiumwa?mpiga simu ilitaja Bugando hospital lazima aliunganisha dots tu!
 
Hiv unajua pesa zilivyo tamu na maisha yalivyobana,sasa eti uache kazi yako ukamuone mtu alieko mbali ambako utatumia karibia siku 5
Kutoka Dar hadi mbeya ni siku tano?? Yaani 5?? Hata wanaoenda Marekani hawaendi hivyo. Kama ana ndugu huko huwa anaenda kuwaona na anaenda kumuona na Gabi je?
 
Back
Top Bottom