Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

DAAAH MTATIRO NA UMUGHAKA NYIE MKIPATA CONNECTION LAZIMA MPIGE MSHINDO!!!!!!! Sema pesa za mishindo harafu kama umemwaga damu hazinaga baraka kabisa kabisa!!!!
 
Heee kwa kweli ni story nzr na nimejifunza mambo mengi sana ahsante sana rafiki kwa kushare hii story
 

Stori nzuri sana, inafundisha mengi
Tarime nimeishi sana ukiwa sirari kwenye kupiga debe ilikua mwaka gani?
 
Mkuu kwahiyo kila kitu kuhusu familia yangu unataka nikiweke hapa Kwa walugaluga?
Sikumaanisha kila kitu yaani moyo wangu bado umeumia sanaa, nimekumbuka mbali sanaaa ila kama ulisema hauko sawa na Baba yako nadhani unaweza pia hata kugusia maana tunajufunza binafsi mimi🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…