Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Kumbe unanisomaga na kumbe mimi naonekana mwehu kwako eti eee.
Kuna wakati unajitoaga akili sana kule kwenye jukwaa la sports,sijui kwanini unakuwa mshamba wa kutambua kuwa ukikoment chechote lazima kisomwe
 
dah hatari sana Umughaka itakuwa huyo musagane kawachomesha tena
 
Hii sehemu ya mwisho na mimi nilikua nakimbia kama wewe.

Bro unajua kuandika tena sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…