Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Yaani wewe Mzee wa Moghabiri kijiji cha ujamaa! umenikuna sana tena sana!....ndo pamenikuza huko ila rafiki zangu kina, Mwita wembe, Kasisi Mang'weina,

Wambura chacha (huyu Baba ake alikuwa Bwana shamba)......lile shamba li kijiji NKongore nimelima sana kwa ushirika lile!! Bado lipo kweli?? na trekta la kijiji mliuza siyo!!.....

Rafiki zangu wazee kina Marwa winani, na wadogo zake kina Gesase wapo!....Mwalimu Werema yaani sijui tu natamani sana nifanye ziara huko nikale Ilityambwe.......Ighichure..... .uliwahi ''kubhusugurya kweli mkuu?? au.......

Jamani Tarime raha hadi kichwa kinauma....ngoja kwanzaa..........Mzee Juhudi na Maarifa babake kina Nesi Nyaikoba wanaishi palee juu kuelekea kirighiri! daaa tarime weeee!

Ebu Kibumaye shule ya Msingi Box 172, bado ipo kweli?? daaaa!
 
Haya tumekusikiaa kabla ujasoma hi Soma hyo ya uchawi ndio utadata zaid
 
Yan nimekua addicted na hii story kila saa nachungulia.
 
Muraaa hao mapongo wanakusetia mwanamke mweupe wakupuputishe mabawa yanayokupa kupaa na vituo, watakudakaa tu,
Hata Samson walimdaka ivo ivo
 
Nilibaki kuduwaa na kushangaa maana niliambiwa naenda kusimamia mitumbwi lakini baada ya kufika kibao kimebadilika na kuitwa mvuvi!.
 
Ulipofikia umenifanya nimkumbuke yule jamaa wa lisasi saba ila yeye alikuwa anafanyia kazi kwenye visiwa vya ukerewe
 
Daaa! goroko77; mwenyewe huyooo!! hivi avatar hii ni wewe kwani??......km si wewe basi unajua kuchagua kweriii!
Kbsa Mkuu Kuna members njemba sinanifata pm wakidhani mm Ni manzi wkt huyo manz Ni mtoto wa kiongozi mmoja hapa nchini ambaye Bab ake Ni rfk ya familia yangu.

Ni rfk angu na amenipa tunda lake zuri kimasiara bas nikaamua kumuenzi ila watu wananifata pm kunitongozo mm ,mm nawachora tu wengijuwa mm Ni njemba mmoja HV wengiingia mitini tu[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…