Land cruiser Prado
Senior Member
- Apr 24, 2021
- 118
- 265
Najitahidi niweze hata Mwezi mmoja tu..Inawezekana mkuu,mi nilishakaa geto Moshi miaka 3 sikuwahi kuleta demu na wala sikuwa na demu moshi,kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 nikiwa na umri zaidi ya miaka 21 ,inawezekana sana,mara nyingi mi nilikua naweza kukaa hata miezi 8 sijakutana na demu
Lishamba tu Hilo naloHuwezi kuelewa kama hujui story za wana appolo
sio kosa lake mkuu, ndio maana akajiita mjingaSasa upo hapa kufanya nini?Ikiwa kweli utapata nini na ikiwa uongo unapungukiwa nini?
ndio maana ukajiita mjinga, sio kosa lako mkuuHii ni stori ya kutunga na walal haina uhalisia wowote.
Umetunia SI unit gani mzee wangu au ni hisia zako tu ndo zimefikiria ivyo?nlichojifunza. ndo maana ile kada pendwa ya wavaa suti, kada ya ndio afande, kada ya takukuru ng'ata imejaza watu hawa kutoka kanda maalum .. aka musoma mara tarime. hawa jamaa ni wanaume na nusu, wana vifua vya kukaa na siri, wakianzisha jambo lao sio dogo. wazee wa pwani hatuyawezi haya ya akina mura.
Miaka hiyo na Mimi nilikua Moshi kikazi. Ila nilikua na mademu 2 , mmoja mwanafunzi KCMC na mwingine alikua ndio amemaliza form 4 Majengo secondary. Time flies.Inawezekana mkuu,mi nilishakaa geto Moshi miaka 3 sikuwahi kuleta demu na wala sikuwa na demu moshi,kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 nikiwa na umri zaidi ya miaka 21 ,inawezekana sana,mara nyingi mi nilikua naweza kukaa hata miezi 8 sijakutana na demu
Hapo ndio anaenda kunusurika kifo na kuamua kuja Dar kua bodaboda tu.
Kweli huyu mwamba ni Arsenal damu,
Huu mwandiko sio wa kisomi kabisa!nlichojifunza. ndo maana ile kada pendwa ya wavaa suti, kada ya ndio afande, kada ya takukuru ng'ata imejaza watu hawa kutoka kanda maalum .. aka musoma mara tarime. hawa jamaa ni wanaume na nusu, wana vifua vya kukaa na siri, wakianzisha jambo lao sio dogo. wazee wa pwani hatuyawezi haya ya akina mura.