Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Inawezekana mkuu,mi nilishakaa geto Moshi miaka 3 sikuwahi kuleta demu na wala sikuwa na demu moshi,kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 nikiwa na umri zaidi ya miaka 21 ,inawezekana sana,mara nyingi mi nilikua naweza kukaa hata miezi 8 sijakutana na demu
Najitahidi niweze hata Mwezi mmoja tu..
Eeeh Mungu nisaidie [emoji120]
 
nlichojifunza. ndo maana ile kada pendwa ya wavaa suti, kada ya ndio afande, kada ya takukuru ng'ata imejaza watu hawa kutoka kanda maalum .. aka musoma mara tarime. hawa jamaa ni wanaume na nusu, wana vifua vya kukaa na siri, wakianzisha jambo lao sio dogo. wazee wa pwani hatuyawezi haya ya akina mura.
 
nlichojifunza. ndo maana ile kada pendwa ya wavaa suti, kada ya ndio afande, kada ya takukuru ng'ata imejaza watu hawa kutoka kanda maalum .. aka musoma mara tarime. hawa jamaa ni wanaume na nusu, wana vifua vya kukaa na siri, wakianzisha jambo lao sio dogo. wazee wa pwani hatuyawezi haya ya akina mura.
Umetunia SI unit gani mzee wangu au ni hisia zako tu ndo zimefikiria ivyo?
 
Inawezekana mkuu,mi nilishakaa geto Moshi miaka 3 sikuwahi kuleta demu na wala sikuwa na demu moshi,kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 nikiwa na umri zaidi ya miaka 21 ,inawezekana sana,mara nyingi mi nilikua naweza kukaa hata miezi 8 sijakutana na demu
Miaka hiyo na Mimi nilikua Moshi kikazi. Ila nilikua na mademu 2 , mmoja mwanafunzi KCMC na mwingine alikua ndio amemaliza form 4 Majengo secondary. Time flies.
 
nlichojifunza. ndo maana ile kada pendwa ya wavaa suti, kada ya ndio afande, kada ya takukuru ng'ata imejaza watu hawa kutoka kanda maalum .. aka musoma mara tarime. hawa jamaa ni wanaume na nusu, wana vifua vya kukaa na siri, wakianzisha jambo lao sio dogo. wazee wa pwani hatuyawezi haya ya akina mura.
Huu mwandiko sio wa kisomi kabisa!
 
Back
Top Bottom