Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Kwa kweli unajitahidi sn tofauti na lafudhi
sijaona sehemu nyingine
 
Yaani wakati nasoma hii story Kuna kaujasiri kananiingia alafu daaa
 
Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Mimi sijaona popote umechanganya japo najua watu wa kanda ya ziwa huwa mnachanganya sana, jamaa anakuzingua tu
 
Jamaa amekalia mgodi
 
Unajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Wewe ndo tatizo sasa. Sio UNANIKELA. Andika UNANIKERA.
 
Maeneo yangu sana hayo mkuu, kuanzia babati,dareda,bashnet,dongobesh,maretadu,maghang,kidarafa,hyderer,dominiki,...etc.......dah umenikumbusha mitaa ya zamani aisee.........dah!....khae......gamila?
😂😂Ga ikhaa khaye kung
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…