Pumbav ww... umeamua kumshobokea mleta story..!?endelea na diss zakoNikimkumbuka Analyze,Elvis Musiba aka Willy Gamba Holy him na Sasa Umghaka napenda kusema,mkoa wa Mara una good story tellers.
Sisi hatutaki kujua hivyo,sizi kazi yetu ni kusoma tu.Nikimkumbuka Analyze,Elvis Musiba aka Willy Gamba Holy him na Sasa Umghaka napenda kusema,mkoa wa Mara una good story tellers.
Kitu kishafika kote huku na hatushtuani mapema mwamba!!! Ngoja nianze mojaa ado ado!!!
Mdogo mdogo tu hadi tuende sawa mwanangu,...nilikusaka kwenye ma comment sikuoni,si ndo ghafla nikakuita,na umeitika chap😂Kitu kishafika kote huku na hatushtuani mapema mwamba!!! Ngoja nianze mojaa ado ado!!!
Mtatiro mtu kaziAiseeee.......yani mtatiro mjinga sana anataka chuma leo leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli unajitahidi sn tofauti na lafudhiMkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
AmekukeLa tena?Unajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Vire...Unajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Mimi sijaona popote umechanganya japo najua watu wa kanda ya ziwa huwa mnachanganya sana, jamaa anakuzingua tuMkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Kunya hadharani upunguze hasira za kukerekaUnajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Hahahahhaa kumbe ulikuwa unachomekea utani tu [emoji23], nilijua uko seriously kumkosoa kamanda Umu..Turia mdogo wangu we huwezi kunifundisha kiswahiri mimi utasubili sana
Jamaa amekalia mgodiUMUGHAKA itabidi ujitafakari San mnk katika ule Uzi wa mzee makono ile ilifikia viewer 126000 +++ yaani waliosoma tu ,sas huu wa sasa HV umefika laki 132 kwa sas HV na Bado unaendelea sijui itafikia ngapi siju ilo ,ila ninachotaka kukumbia Ni kwamba jitafakari kuangalia namna ya kuzalisha vitabu upige pesa au movie kbsa tengenezaa mnk unajuwaa mnoo kusimulia na kuandika vzr sna
Sio turia ni tulia...tatizo liko palepaleTuria mdogo wangu we huwezi kunifundisha kiswahiri mimi utasubili sana
Sio rabda ni labda na sio vuzuli ni vizuri sio kiswahiri ni kiswahili na mwisho kabisa japo sio kwa umuhimu ni utasubiri sio utasubili. Matatizo yako ya r na l ni makubwa sana.Wapi nimechanganya L na R rabda macho yako hayaoni vizuli ira hujui kiswahiri utasubili sana
Wewe ndo tatizo sasa. Sio UNANIKELA. Andika UNANIKERA.Unajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
😂😂Ga ikhaa khaye kungMaeneo yangu sana hayo mkuu, kuanzia babati,dareda,bashnet,dongobesh,maretadu,maghang,kidarafa,hyderer,dominiki,...etc.......dah umenikumbusha mitaa ya zamani aisee.........dah!....khae......gamila?