Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Umughaka ameamka salaama,n vile alikua na abiria wa asbh wa kumpeleka stand ya magufuli alikua anasafiri hvyo wakati anaenda kunywa chai ndo atatuletea story
 
TIBAIGANA hajawahi kuwa IGP kijana
 
Mwamba Ni muandishi mzuri Sana kiukweli. Hongera zako mkuu.
Nakushauri hi story yako Kama vipi utengeneze scripts uwauzie wachezaji filamu upige pesa mkuu.

Ni nzuri Sana kiukweli.
 
.(Yule mganga alikuwa mjanja sana,badala ya kulima mashamba yake,sisi wapumbavu ambao tulifahamika kama wateja wake ndio tuliomlimia wakati yeye akiwa ametulia nyumbani,Daaah![emoji23][emoji23],na kila mtu aliyefika hapo kwake ni lazima ilikuwa akamatishwe jembe aingie shambani![emoji23][emoji23]).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…