Kwani kuna shida mkuuSTORI NI YA KUTUNGA WALA HAINA UHALISIA WOWOTE......
Mwambie aache wivuKwani kuna shida mkuu
Huyu mkurya ni hatari! Anajua tamthilia! Nina digrii ya tamthilia ila simfilii!Hakika huyu kijana apewe tozo hapa jf Ni mtu anajuwa ni maana ya fasihi andishi Ni mtaalamu haswa tumuombee mungu afike mbali manake anajuwa haswa
TIBAIGANA hajawahi kuwa IGP kijanaStory imefikisha viewers laki 182+++++ Safi San
Naona wakuu wa mashirika ya umma na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wamo huku wkikodoa macho[emoji44][emoji44] kuona kwamba Ni tukio gani lilikwisha fanyika pasipo wao kuwa aware
HV umughaka unaweza kumbkumbuka IGP wa kipindi kile , siyo said mwema kweli ? Au TIBAIGANA
tunga yako na wewe uvimbe nnyaaaHuyu jamaa na story yake Haina uhalisia,,,japo baadhi ya maeneo kayataja ili kutengeneza uhalisia,,,,
Alafu ameshaanza kuvimba masikio kisa wadau wengi wanataka muendeleo ,,,,
Kausha bhanaHuyu jamaa na story yake Haina uhalisia,,,japo baadhi ya maeneo kayataja ili kutengeneza uhalisia,,,,
Alafu ameshaanza kuvimba masikio kisa wadau wengi wanataka muendeleo ,,,,
WIVU NI KIDONDAHuyu jamaa na story yake Haina uhalisia,,,japo baadhi ya maeneo kayataja ili kutengeneza uhalisia,,,,
Alafu ameshaanza kuvimba masikio kisa wadau wengi wanataka muendeleo ,,,,