MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Usiogope!Jamaa kama anaelekea kupoteza credit alizozipata jf!!
Kiukweli hii story inapoelekea sio pazuri hata kama sasa ni raia mwema. Ningekua mimi kulinda heshina yangu, ishu ya kunusurika kifo ningetungia kule ziwani may be mtumbwi ulipinduliwa na kiboko tukapoteana wavuvi wote. Unahitimishia huko.
Ila huku ni pazito unless uwe ushaenda jela kwa hayo matukio uliyoyafanya.
Sent
Ukumbuke jamaa anakomaa kijiweni huko Bunju, akikosa wateja ndiyo anaandika hapa tena kwa simu. Ingefaa tumshikuru siyo kumlaumu
iwe ya kutunga au laa, binafsi nitamchangia hiyo bodaboda, nilishapoeza vingi tu kwenye maisha
wewe tomaso unaamini ni nani?Unaamini ni boda boda?[emoji16]
Hamna sio uoga. Jamaa wanaweza muungia kumbuka hajui kama file la case lipo closed.Hahahaha acha uoga wewe ..credidibility ya nini? Hii ni story bhana ...Acha mtatiro na Umughaka washike mashine hahahahaha
Hakuna kitu Kama hicho acheni uoga nyie wadanganyika duu!! Mnaogopa Hadi story cowardice peoplesHamna sio uoga. Jamaa wanaweza muungia kumbuka hajui kama file la case lipo closed.
Wewe huoni hata yeye mwenyewe alitoa tahadhari maana hana uhakika.
Credibilitu nayozungumzia hapa ni hii ya kuishia njiani, anashindwa malizia story kwa sababu huko sio pazuri kivile.
Unaweza ona ni story ila kuna watu wanachukulia serious.
Sent
Kweli kuna watu mna ubinafsi, hakuna awazaye kama huenda ana matatizo au dharura, watu wanaropokwa tuu mara anaringa, mara kapata bichwa utafikiri Umughaka ni muajiriwa humu JF ambaye kazi yake ni kukidhi tuu mahitaji ya wanaJF.
Humu tupo ma jobless,tupo wafanya kazi na wafanya biashara ambao hatupo busy...kujitokeza kijiwe kama hiki tegemea reaction tofauti tofauti.Watu ni waajabu sana wana lalamika as if mwenzao hana shughuli nyingine za kufanya... wana sahau mwenzao nae ana shughuli zake! Tena ilibidi kwa siku anatupa episode moja tuu.....
Unachezea na kurya , Wanachapwa hata walio Kwisha owa , sembuse huyo form Six!!!!Kijana aliyemaliza Form Six sio mtoto..ni mtu mzima..ana miaka zaidi ya 18..anajielewa..ni level ya kijana wa chuo kikuu...kushikiwa chini na kupigwa hivyo nadhani hapo kuna shida..hayo ni mambo ya watoto wa std iv to vii