Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Credibility ya account/jina famba???Jamaa kama anaelekea kupoteza credit alizozipata jf!!
Kiukweli hii story inapoelekea sio pazuri hata kama sasa ni raia mwema. Ningekua mimi kulinda heshina yangu, ishu ya kunusurika kifo ningetungia kule ziwani may be mtumbwi ulipinduliwa na kiboko tukapoteana wavuvi wote. Unahitimishia huko.
Ila huku ni pazito unless uwe ushaenda jela kwa hayo matukio uliyoyafanya.
Sent
Yap! yuko chini ya ulinzi wa afande Mbao za MaweUMUGHAKA ameshikwa na mapongo??
Usihukumu kaka,huezi jua amepatwa na nini,nadhan mwenye namba yke ajaribu walau kmchekJamaa kama anaelekea kupoteza credit alizozipata jf!!
Kiukweli hii story inapoelekea sio pazuri hata kama sasa ni raia mwema. Ningekua mimi kulinda heshina yangu, ishu ya kunusurika kifo ningetungia kule ziwani may be mtumbwi ulipinduliwa na kiboko tukapoteana wavuvi wote. Unahitimishia huko.
Ila huku ni pazito unless uwe ushaenda jela kwa hayo matukio uliyoyafanya.
Sent
Hatujamlazimisha, wala kumuomba