Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Credibility ya account/jina famba???
 
Usihukumu kaka,huezi jua amepatwa na nini,nadhan mwenye namba yke ajaribu walau kmchek
 
Jamaaa kakamatwa na Gabi kwa kuuza siri za kambi,hakuna mwendelezo wowote atakaoleta,chamsingi jeuzeni kijiwe cha kahawa tuu humu
 
Story closed, mna midomo sana watu wa jf, kila kono tuvimaneno kama mnamchangia chochote mhusika, good will yake mnaitumia vibaya na viujuaji vyenu.

Jamaa haleti story, leteni za kwenu ambazo mnaona zinafaa, na si za kutunga tusome ... Mmejawa na wivu tu kama watoto wa kike. Jamaa anatumia mda wake kuwaburudisha nyie bila malipo ila bado mna nongwa,

Acheni upumbavu
 
Umughaka kaa ukijua arosto ni mbaya na inaumiza mno...hebu tuungie bhana tusiteseke viumbe wenzako. Kuwa na huruma...hebu tiririsha hata episode tatu mfululizo ili utufariji wenzio...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…