Labda kwasababu wao hawaweki episodes wanaweka nyuzi zilizokamilika. Hii ni kama series watu wanasubiri mwendelezo😀UMUGHAKA halipwi na mtu wala hajamuita mtu yoyote kufuatilia nyuzi zake. Nashangaa, kwanini hawamgombezi Pascal Mayalla asipochapisha kwnye jukwaa la siasa. Wala hawamsakami Mshana Jr asipo post yale mambo yaleeee
sio tatizo la mtoa uzi ni tatizo la watu kukosa kazi za kufanyaa..ukiwa jobless vitu vidogo tu unamind balaa watu watafute kazi.Labda kwasababu wao hawaweki episodes wanaweka nyuzi zilizokamilika. Hii ni kama series watu wanasubiri mwendelezo😀
Hapa umekosea mkuuHow come jambazi akuamini na akupe million zake kwa dk moja tu na kukupeleka kazini bila mafunzo ya silaha
Kwa mwanza jijini,usiku tu boda boda anapiga mpaka 50,000 tena ya uhakikaNi sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
Watu wana urahibu wao tu, na ample timeLabda kwasababu wao hawaweki episodes wanaweka nyuzi zilizokamilika. Hii ni kama series watu wanasubiri mwendelezo😀
Tafuta kazi za kufanya we mtoto wa ma la ya,ungekuwa na kazi za kufanya hata usingehangaika hivHapa watu unawaandaa kwenda waibia. Na pia kuna watu wanatafutwa wajichanganye.... Wewe lete story humu hamna haja ya kuonana. Unataka uwateke na kuwaibia watu?hizi mbinu tunazijua. Usione tumo humu ukadhani wajinga.... Lete story weka episode nyingine leo haraka. Acha ujinga wa kutaka pesa kibwege. Lete story nasubiri.
Sijapenda aisee. Na sikutarajia kutoka kwako hizo sentiments.Kwa nini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge... Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.
Wale waliojiunga Taxfy kuna kipindi akiamka asbh saa 12 mpaka ikifika saa 4 asubuhi ameshakunja elfu 50, anaamua akalale kwanza au aendelee, hasa waliopo City centre wanapiga hela sanaNi sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
Pole kwa msiba!Wakuu habari za leo?
Bila shaka nyie ni wazima kabisa ndugu zangu,poleni sana,Aisee nimetoka kidogo nje ya mji nipo mkoani tulileta Msiba,hivyo nisubirieni nikirudi nakuja kuendelea na kumalizia sehemu kidogo iliyobaki!.
Pia niwatoe hofu hakuna mtu yeyote aliyenitisha wala kuzuia eti nisisimulie,hilo wala lisiwape tabu!.
Vilevile nimejaribu kupitia comments za watu nimeona positive na negative opinions,hii ndiyo akili ya mwandamu siku zote,ukipenda tu usifiwe katika maisha basi wewe utakuwa na matatizo ya utindio wa ubongo!,mimi niendelee kuwaomba watu wanaotoa negative comments wala wasitukanwe na kukejeliwa!,acheni nao waji mwaye mwaye kwa kutumia uhuru vizuri wa kutoa maoni!.
Nilisema nia na lengo ni kufundisha watu,wengine haya ndiyo yalikuwa maisha yetu enzi hizo.
Narudia tena kuwaambia ya kwamba mimi kazi yangu ni bodaboda na napatikana bunju,yeyote anayetaka kuonana na mimi kuja kijiweni napo paki bodaboda yangu basi aje pm nimtumie namba anitafute nimuelekeze aje anione tupige stori,sasa mkiendelea kubisha ya kwamba mimi si bodaboda hiyo haisaidii kwasababu utakuwa ni mjinga tu unayetaka kubisha bila sababu ya msingi wakati mimi muhusika nipo bunju tu hapo ambapo unaweza kufika ili ubishi wako uishe!.Kama nilikuwa mpiga debe ni kitu gani kinizuie kuendesha bodaboda?,mimi sichagui kazi wakuu ili mradi iwe halali,sasa hivi sitaki kuiba cha mtu!.
Mimi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.
Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
That's right dear, the guy ameenda mbali sana sielewi kakutwa na nini. Tuvumiliane tuSijapenda aisee. Na sikutarajia kutoka kwako hizo.
Kumwambia aache njaa na kumwambia aache kutapeli watu is not fair at all.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona makasiriko humu ndani?
Mimi si muandishi wa huu uzi. Hata hivyo umemnukuu vibaya, mambo ya kuchangia yalipendekezwa na msomaji mmoja sio yeye, na pia alijua kuna mtakaokuwa na mawazo kama haya ndio maana akapendekeza, anayejisikia kutoa, amfuate kibinafsi.Siku aje JF kuimba uone kama tutamlipa.hii mbinu ya kutaka kuwatapeli watu kwa kutumia IDs zako nyingine kujipigia debe tunaifahamu sana.
Jamaa naye si atunge yake.Kama jina lako 😏
KWANI HUJAENDA NA SIMU, AU UNAANDIKA KUPITIA DESKTOP. KAMA MATERIAL YAKO KICHWANI NA SIMU UNAYO HAPO MSIBANI KWENYE MAJAMVI SI UNAWEZA KUANDIKA TU VIZURI TUKAPATA UHONDO!![emoji16][emoji16]jokes.Wakuu habari za leo?
Bila shaka nyie ni wazima kabisa ndugu zangu,poleni sana,Aisee nimetoka kidogo nje ya mji nipo mkoani tulileta Msiba,hivyo nisubirieni nikirudi nakuja kuendelea na kumalizia sehemu kidogo iliyobaki!.
Pia niwatoe hofu hakuna mtu yeyote aliyenitisha wala kuzuia eti nisisimulie,hilo wala lisiwape tabu!.
Vilevile nimejaribu kupitia comments za watu nimeona positive na negative opinions,hii ndiyo akili ya mwandamu siku zote,ukipenda tu usifiwe katika maisha basi wewe utakuwa na matatizo ya utindio wa ubongo!,mimi niendelee kuwaomba watu wanaotoa negative comments wala wasitukanwe na kukejeliwa!,acheni nao waji mwaye mwaye kwa kutumia uhuru vizuri wa kutoa maoni!.
Nilisema nia na lengo ni kufundisha watu,wengine haya ndiyo yalikuwa maisha yetu enzi hizo.
Narudia tena kuwaambia ya kwamba mimi kazi yangu ni bodaboda na napatikana bunju,yeyote anayetaka kuonana na mimi kuja kijiweni napo paki bodaboda yangu basi aje pm nimtumie namba anitafute nimuelekeze aje anione tupige stori,sasa mkiendelea kubisha ya kwamba mimi si bodaboda hiyo haisaidii kwasababu utakuwa ni mjinga tu unayetaka kubisha bila sababu ya msingi wakati mimi muhusika nipo bunju tu hapo ambapo unaweza kufika ili ubishi wako uishe!.Kama nilikuwa mpiga debe ni kitu gani kinizuie kuendesha bodaboda?,mimi sichagui kazi wakuu ili mradi iwe halali,sasa hivi sitaki kuiba cha mtu!.
Mimi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.
Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
Punguani wa namna hii wapo ili dunia iendelee achana nao.Sijapenda aisee. Na sikutarajia kutoka kwako hizo.
Kumwambia aache njaa na kumwambia aache kutapeli watu is not fair at all.
Aisee, kweli dunia tambara bovuKwanini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge. Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.