Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

How come jambazi akuamini na akupe million zake kwa dk moja tu na kukupeleka kazini bila mafunzo ya silaha
Hapa umekosea mkuu

Milioni moja kwa Mafia anayepiga dili za milioni 100 ni pesa ndogo sana tena ukumbuke hayo sio malipo ya kazi bali ni pesa ya kujikimu wakati ukijiandaa kufanya kazi
Katika kazi za kijasusi kupewa pesa kama hizo ni jambo la kawaida sana
 
Hapa watu unawaandaa kwenda waibia. Na pia kuna watu wanatafutwa wajichanganye.... Wewe lete story humu hamna haja ya kuonana. Unataka uwateke na kuwaibia watu?hizi mbinu tunazijua. Usione tumo humu ukadhani wajinga.... Lete story weka episode nyingine leo haraka. Acha ujinga wa kutaka pesa kibwege. Lete story nasubiri.
Tafuta kazi za kufanya we mtoto wa ma la ya,ungekuwa na kazi za kufanya hata usingehangaika hiv
 
Kwa nini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge... Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.
Sijapenda aisee. Na sikutarajia kutoka kwako hizo sentiments.

Kumwambia aache njaa na kumwambia aache kutapeli watu is not fair at all.
 
Wakuu habari za leo?

Bila shaka nyie ni wazima kabisa ndugu zangu,poleni sana,Aisee nimetoka kidogo nje ya mji nipo mkoani tulileta Msiba,hivyo nisubirieni nikirudi nakuja kuendelea na kumalizia sehemu kidogo iliyobaki!.

Pia niwatoe hofu hakuna mtu yeyote aliyenitisha wala kuzuia eti nisisimulie,hilo wala lisiwape tabu!.

Vilevile nimejaribu kupitia comments za watu nimeona positive na negative opinions,hii ndiyo akili ya mwandamu siku zote,ukipenda tu usifiwe katika maisha basi wewe utakuwa na matatizo ya utindio wa ubongo!,mimi niendelee kuwaomba watu wanaotoa negative comments wala wasitukanwe na kukejeliwa!,acheni nao waji mwaye mwaye kwa kutumia uhuru vizuri wa kutoa maoni!.

Nilisema nia na lengo ni kufundisha watu,wengine haya ndiyo yalikuwa maisha yetu enzi hizo.

Narudia tena kuwaambia ya kwamba mimi kazi yangu ni bodaboda na napatikana bunju,yeyote anayetaka kuonana na mimi kuja kijiweni napo paki bodaboda yangu basi aje pm nimtumie namba anitafute nimuelekeze aje anione tupige stori,sasa mkiendelea kubisha ya kwamba mimi si bodaboda hiyo haisaidii kwasababu utakuwa ni mjinga tu unayetaka kubisha bila sababu ya msingi wakati mimi muhusika nipo bunju tu hapo ambapo unaweza kufika ili ubishi wako uishe!.Kama nilikuwa mpiga debe ni kitu gani kinizuie kuendesha bodaboda?,mimi sichagui kazi wakuu ili mradi iwe halali,sasa hivi sitaki kuiba cha mtu!.

Mimi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.

Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
Pole kwa msiba!
 
Siku aje JF kuimba uone kama tutamlipa.hii mbinu ya kutaka kuwatapeli watu kwa kutumia IDs zako nyingine kujipigia debe tunaifahamu sana.
Mimi si muandishi wa huu uzi. Hata hivyo umemnukuu vibaya, mambo ya kuchangia yalipendekezwa na msomaji mmoja sio yeye, na pia alijua kuna mtakaokuwa na mawazo kama haya ndio maana akapendekeza, anayejisikia kutoa, amfuate kibinafsi.
 
Wakuu habari za leo?

Bila shaka nyie ni wazima kabisa ndugu zangu,poleni sana,Aisee nimetoka kidogo nje ya mji nipo mkoani tulileta Msiba,hivyo nisubirieni nikirudi nakuja kuendelea na kumalizia sehemu kidogo iliyobaki!.

Pia niwatoe hofu hakuna mtu yeyote aliyenitisha wala kuzuia eti nisisimulie,hilo wala lisiwape tabu!.

Vilevile nimejaribu kupitia comments za watu nimeona positive na negative opinions,hii ndiyo akili ya mwandamu siku zote,ukipenda tu usifiwe katika maisha basi wewe utakuwa na matatizo ya utindio wa ubongo!,mimi niendelee kuwaomba watu wanaotoa negative comments wala wasitukanwe na kukejeliwa!,acheni nao waji mwaye mwaye kwa kutumia uhuru vizuri wa kutoa maoni!.

Nilisema nia na lengo ni kufundisha watu,wengine haya ndiyo yalikuwa maisha yetu enzi hizo.

Narudia tena kuwaambia ya kwamba mimi kazi yangu ni bodaboda na napatikana bunju,yeyote anayetaka kuonana na mimi kuja kijiweni napo paki bodaboda yangu basi aje pm nimtumie namba anitafute nimuelekeze aje anione tupige stori,sasa mkiendelea kubisha ya kwamba mimi si bodaboda hiyo haisaidii kwasababu utakuwa ni mjinga tu unayetaka kubisha bila sababu ya msingi wakati mimi muhusika nipo bunju tu hapo ambapo unaweza kufika ili ubishi wako uishe!.Kama nilikuwa mpiga debe ni kitu gani kinizuie kuendesha bodaboda?,mimi sichagui kazi wakuu ili mradi iwe halali,sasa hivi sitaki kuiba cha mtu!.

Mimi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.

Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
KWANI HUJAENDA NA SIMU, AU UNAANDIKA KUPITIA DESKTOP. KAMA MATERIAL YAKO KICHWANI NA SIMU UNAYO HAPO MSIBANI KWENYE MAJAMVI SI UNAWEZA KUANDIKA TU VIZURI TUKAPATA UHONDO!![emoji16][emoji16]jokes.
Anyway, pole kwa msiba. UMUGHAKA
 
Sijapenda aisee. Na sikutarajia kutoka kwako hizo.

Kumwambia aache njaa na kumwambia aache kutapeli watu is not fair at all.
Punguani wa namna hii wapo ili dunia iendelee achana nao.

Yaani watu wanalazimisha kitu kama vile wao ndo wanasimulia. Jamaa anatumia muda wake, simu yake, bando lake ila anavyoshambuliwa kama vile analipwa na wadau humu.


Hata akiishia alipoishia no one atamfanya kitu.[emoji848]
 
Kwanini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge. Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.
Aisee, kweli dunia tambara bovu
 
Back
Top Bottom