Watu wanaongea kujifurahisha tu.Wapi huko boda boda anaweza ingiza 70,000 kwa siku? Nipeleke boda boda wangu 5 tu. Hizi ni stories tu asikudanganye mtu. Boda boda wamesambaa tanzania ni wengi sana kwa sasa.
Kwanini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge. Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.
πππAfadhali umegundua hilo. Unakuja jipigia promo uwatapeli watu. Leta stories. Hutaki lala mbele. Wewe JF imekutoza nini? Hatutaki wezi humu. Povu lako kafulie nguo uwe msafi na lingine kaoshee ubongo...π€£ Mnaleta njaa zenu JF... Hatujaomba story.umeleta then unataka ulipwe we unaleta udangaji humu.
Sio wajuaji sema wapumbavu ni wengi sanaJamii forum wajuaji wengi sana
Shut up you 'sun of a beach'Hapa watu unawaandaa kwenda waibia. Na pia kuna watu wanatafutwa wajichanganye.... Wewe lete story humu hamna haja ya kuonana. Unataka uwateke na kuwaibia watu?hizi mbinu tunazijua. Usione tumo humu ukadhani wajinga.... Lete story weka episode nyingine leo haraka. Acha ujinga wa kutaka pesa kibwege. Lete story nasubiri.
Ni sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
Kuna kitu kinaitwa Writers Block. Achana nacho kabisa. Ukishajua challenges za uandishi you will respect ile energy, dedication, na time anayotumia mtu kuandika.Punguani wa namna hii wapo ili dunia iendelee achana nao.
Yaani watu wanalazimisha kitu kama vile wao ndo wanasimulia. Jamaa anatumia muda wake, simu yake, bando lake ila anavyoshambuliwa kama vile analipwa na wadau humu.
Hata akiishia alipoishia no one atamfanya kitu.[emoji848]
Hajakutwa na kitu.That's right dear, the guy ameenda mbali sana sielewi kakutwa na nini. Tuvumiliane tu
Zingatia huu ushauri mkuu usitoe namba yako unless otherwise hii sio true storyMura kwa story inakoelekea nakushaur usiruhusu kuonana na mtu hata mm nilikuwa nataka tuonane but nakushaur usitoe no yako wala kukubali kuonana na mtu wa insta
Bro kosa la jinai huwa halifi hata kama ni baada ya miaka kumi bado kesi inaweza kufufuliwa na ukashtakiwa
So pls baki tu mtu asiyejulikana kama wengine hapa jf
Mimi si muandishi wa huu uzi. Hata hivyo umemnukuu vibaya, mambo ya kuchangia yalipendekezwa na msomaji mmoja sio yeye, na pia alijua kuna mtakaokuwa na mawazo kama haya ndio maana akapendekeza, anayejisikia kutoa, amfuate kibinafsi.
Your username will not draw any further comments.Hata hili la kusema kuna msiba inaweza kuwa uongo apate huruma ya kuchangiwa
Nina rafiki yangu bodaboda kwa siku anaweza pata hata 70000+ akikomaa kazini ila ni mvivu. Laiti kama angekuwa ana malengo na anatamani kuyafikia ana uwezo hata wa kulaza laki kwa siku. Ni vile bado hana majukumu so siku akipata hela ya kula,ya bosi na mafuta anarelax mpaka akamatike ana shida anapiga kazi sana. So ni kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok so what?Unajuaje aliyependekeza km ni back up I'd
Mkuu huyu jamaa ni kweli hii story ni yake Na wala c ya kutunga maana misukosuko aliyokutananayo hawezi kushindwa kuvumilia kejeri za humu
Sio kamba na usibishe pia ofisi yangu ipo na kijiwe cha bodaboda, wanafanya kazi wengine hadi wanakesha usiku mzima. Huyu rafiki yangu ninaemuongelea yeye hana ratiba maalum ya kazi yeye asubuhi, mchana au kukesha ni fresh kwake as long as anajisikia kufanya kazi. Bodaboda kinachowaponza ni pombe, bangi, kamali na wanawake hela zao nyingi zinaishia huko.Acha kamba boda boda akiondoa gharama za mafuta kwa siku anabaki na 30,000 tu km pikipiki yake
Hapo ondoa pesa ya kula kwa siku
Nyie ndio wabishi kwa kuona bodaboda ni kazi ya chini wakati kuna watu wanalea familia, wamejenga sababu ya bodaboda. Kweli siku haziwezi kufanana lakini bodaboda ina hela sana kama mtu yupo serious na kazi yake. Kinachowaponza bodaboda na bajaji ni ulevi, bangi, umalaya na kamali ndio zinaishia hela zao na madeni juu. Sibishi mimi kazi yangu ilikuwa pembeni kijiwe cha bodaboda nilijifunza mengi sana kuwahusu.
Bodaboda yupo radhi atoe 20000 ya guest kula mzigo na akampeleka mtu huyo bure ruti ndefu labda mbezi hadi gmboto hapo kashapoteza kiasi gani. Bado hajalewa na kucheza kamali. Na wala hawajali kuhusu kesho as wanajua kesho ikifika nitapata tena.
Sikushauri kununua bodaboda kuwapa madereva wao wanachojali ni kula, kulewa na kamali yupo radhi asipeleke hela ya bosi ila akacheze dubwi amalize hata 40000 huko. Pamoja na urafiki nao kindakindaki siwezi kurisk kununua bodaboda kumpa dereva anajua hata asipokupa hela yako utachukua chuma yako leo kesho anapata nyingine maisha yanasonga.
Kwa mtu anayejielewa na kujua nini anafanya kutoboa kwa bodaboda ni rahisi sana sometimes biashara inakuwa ngumu kwao ila nina ushahidi usio wa stori kuwahusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atanunua chombo chake vipi wakati wao wanachowaza ni kula, pombe, kamali, bangi na wanawake?? Katika bodaboda 10 kijiweni wenye malengo hawafiki hata 4 naongea kwa experience.Watu wanaongea kujifurahisha tu.
Huyu anayepata 70 kwa siku akitoa cha bosi. Ndani ya miezi 2 anakuwa na uwezo wa kuwa na chombo yake
Your username will not draw any further comments.
Pole sana Mkuu πππLeo nina nyege mno Mkuu. Sisi wengine tuna vibamia. Hatukuomba tuwe MASHOGA. Athari ya kuchekwa na kutukanwa na mademu kisa nina kibamia ndo ikapelekea nikaanza kugawa Kinyeo
kweli Umughaka hashikiki kichawi wala kimapanga!! !Kuna watu wanamdharau tuu UMUGHAKA wakati kina Monica walimpika na kina Gabriel pia