Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Wewe unachukulia serious stories za jamaa? Huwa zina walakini sema watakuja vilaza kukushambulia. Maana wataona unawakatisha stories. They dont question. They just swallow....watakushukia. we subiri tu
Hivi wewe unawajua wazee wa kikurya au unaleta zogo sisizokuwa na maana sio kijana tu hata mtu mzima anapigwa mzee kule hakuna masihara.
 
Kweli mwanaume alali njaa anachelewa tu kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…