Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

KWANI HUJAENDA NA SIMU, AU UNAANDIKA KUPITIA DESKTOP. KAMA MATERIAL YAKO KICHWANI NA SIMU UNAYO HAPO MSIBANI KWENYE MAJAMVI SI UNAWEZA KUANDIKA TU VIZURI TUKAPATA UHONDO!![emoji16][emoji16]jokes.
Anyway, pole kwa msiba. UMUGHAKA
Humu kweli kuna watu hawana akili timamu, kabisa yaani kama huyu jamaa ni mwehu kabisa.
Ndugu kasema wazi kuna mahali wamepeleka msiba, It means wamefiwa! huko alipo yupo msibani.

Imagine mtu uko msibani unamajonzi halafu wakati huo huo unashauriwa uandike story ya kuwaburudisha watu! only Crazy can think that way...
 
Mkuu kamalizia hapo mwisho kwa kusema anafanya utani
 
Mbona umeishia hapa? Kupitia comments zote mtihani hapa natafuta bandiko lako tu
 
Labda akauzie watu watamthilia lakini hawa wa humu hivyo vitabu vyenyewe unavyosema kuna wana jf walitoa mie hata sijawahi kuviona hivyo vitabu
 
Hajakutwa na kitu.

He had other options.

Read and go about his business.

Read and applaud the writer for his time.

Be a dickhead. Unfortunately he opted for this. [emoji2960][emoji2960]
dickhead[emoji23][emoji23]
 
Pole sana kwa msiba
 
😂😂 mafanikio ya kuangalia kwa macho ni rahisi sana. Nyuma ya pazia ndiyo unagundua tajiri na pesa zake.
 
KWANI HUJAENDA NA SIMU, AU UNAANDIKA KUPITIA DESKTOP. KAMA MATERIAL YAKO KICHWANI NA SIMU UNAYO HAPO MSIBANI KWENYE MAJAMVI SI UNAWEZA KUANDIKA TU VIZURI TUKAPATA UHONDO!![emoji16][emoji16]jokes.
Anyway, pole kwa msiba. UMUGHAKA
Hujawahi kufiwa wewe, yaani kuwafurahisha wana jf ushindwe kufanya majukumu ya maana embu kuwa muungwana basi hata kidogo usilete utani kwenye msiba wa mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…