Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

NCHI HII INA VIJANA WA HOVYO SANA...SOMA MPAKA MWISHO NILIVYOANDIKA..pambaf sana SALOK
 
Lee
 
"Baada ya muda ndipo nilikuja kugundua kumbe yule jamaa ambaye tulienda kwake kufanya tukio alikuwa mfanyabiashara wa madini hapo Kahama.

Kiukweli niliumia sana moyo kwa kile kitendo tulichokuwa tumekifanya lakini tayari nilikuwa mikononi mwa watu wabaya wasiokuwa na huruma!."
Pole sana.
 
Noma sana Hii ndio get rich or die trying....sijui kama mtatiro safari hii atakubali kudhurumiwa tena....na sidhani kama huyo bosi ana nia ya dhati kuwapa pasu kwa pasu aiseeee....
 
Asante sana Umughaka Jioni yangu safi kabisa hapa 👍👍👍
 
950, 000/- each, out of 50M+ and today our UMUGHAKA is dreva bodaboda you get what I mean? Mwishoni itakuwa walidhulumiwa hawa vijana ☺🙂☺🙂
Kweli maisha hayana formula!!! Jamaa Angekua na akili ya kuwekeza angekua mbali sana anyway.. Wacha tusubiri muendelezo tuone!
 
Noma sana Hii ndio get rich or die trying....sijui kama mtatiro safari hii atakubali kudhurumiwa tena....na sidhani kama huyo bosi ana nia ya dhati kuwapa pasu kwa pasu aiseeee....
Chamboooo .. watakua walitumika kama chambo!!
Ngoja tusubirie tuone!
 
Jamaa upo vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…