Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hivi kwanini baadhi ya mademu wa kaskazini kwa Asilimia kubwa wanatumika sana kwenye ujambazi/ utapeli??
Natanguliza samawani![emoji854]

Madem wa kiarusha, kimeru, Kichaga, kipare hua ni jasiri kwenye michongo yote iwe halali au haramu maana wanakua wanajua mbanga za kusafirisha mrungi, bange, unga, na magendo kadhaa na sio waropokaji na wanauelewa angalia hata wanaoolewa wengi ni wao, sasa ukachukue demu wa kiha au kisukuma au kizaramo si utaambulia aibu kwenye michongo yako maana anaweza kuaga hadi ndugu kua mniombee
 
Kuoa demu wa kimeru yahitaji moyo Kama wewe sio mmeru.
 
Kuaga ndugu mniombee😀😀😀😀!
Noma sana hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…