Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Katika maisha yangu leo ndio nimekutana na pisi kali, duuh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi mbona kama haupo...??Utajiri wa kaka upo kwenye viungo vyangu vya siri
Hayaa kimbieni huko ila mrudi kesho kutwa umughaka akirejea
Umughaka
babukijana . Wewe kweli Babu. Muda huu uko macho.V
Umughaka
"Maji ya mvua si hayana kutu eeeh kaka"
Mtatiro-"mwanangu haya ni pua wota"
We kweli mjukuu mda huu uko macho😃babukijana . Wewe kweli Babu. Muda huu uko macho.
Hivi kwanini baadhi ya mademu wa kaskazini kwa Asilimia kubwa wanatumika sana kwenye ujambazi/ utapeli??
Natanguliza samawani![emoji854]
Kuoa demu wa kimeru yahitaji moyo Kama wewe sio mmeru.Madem wa kiarusha, kimeru, Kichaga, kipare hua ni jasiri kwenye michongo yote iwe halali au haramu maana wanakua wanajua mbanga za kusafirisha mrungi, bange, unga, na magendo kadhaa na sio waropokaji na wanauelewa angalia hata wanaoolewa wengi ni wao, sasa ukachukue demu wa kiha au kisukuma au kizaramo si utaambulia aibu kwenye michongo yako maana anaweza kuaga hadi ndugu kua mniombee
Ganja, nyagi, K-Vant ndiyo starehe yao pendwaKuoa demu wa kimeru yahitaji moyo Kama wewe sio mmeru.
Utakuwa umefutwa mnk uliku una kinyaaa haswaaHuu uzi mbona kama haupo...??
Sahih kbsa Kama wee c mmeru itakula kwako waoane wao kwa waoKuoa demu wa kimeru yahitaji moyo Kama wewe sio mmeru.
Kuaga ndugu mniombee😀😀😀😀!Madem wa kiarusha, kimeru, Kichaga, kipare hua ni jasiri kwenye michongo yote iwe halali au haramu maana wanakua wanajua mbanga za kusafirisha mrungi, bange, unga, na magendo kadhaa na sio waropokaji na wanauelewa angalia hata wanaoolewa wengi ni wao, sasa ukachukue demu wa kiha au kisukuma au kizaramo si utaambulia aibu kwenye michongo yako maana anaweza kuaga hadi ndugu kua mniombee
Sijajua utaratibu wao kama wanalipa au lahEfm wanalipwa kwenye matangazo ya biashara wanayorusha ktk ya hayo masimulizi, je watamlipa UMUGHAKA ?