Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Kumbe Ndiomana ulisema ngono si kipaumbele Chako kabisa. una uchungu na rafiki zaidi ya Ndugu yako.

Pole yake sana mtatiro natumae bado yu hai kama alizingatia ushauri wa daktare! Ajali kazini
 
Humu kuna vitu vingi mnoo vya kujifunza hasa sisi kama wazazi,serikali na jamii kwa ujumla..ila watu ambao wao kila kitu ni mabishano na masihara hawawezi kujua.
Nimesoma post zako karibu zote kwenye Uzi huu,sikuwahi kujua kwamba una busara namna hii, Kalpana sikuchukulii poa tena mkuu,....umetema madini sana kujaribu kuwaelewesha watu,tulokuelewa tumeelewa na mgumu kuelewa usimlazimishe aelewe,hata mitume na manabii was Mungu hawakueleweka na jamii zao mkuu,
 
@Demi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…