Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Kumbe Ndiomana ulisema ngono si kipaumbele Chako kabisa...ulipata somo toka kwa rafiki zaidi ya Ndugu.
Pole yake sana mtatiro natumae bado yu hai kama alizingatia ushauri wa daktare!
Alipotuambia kuwa ngono sio kipaumbele kwake, bado alikuwa hajajua status ya Mtatiro.........mambo hayo sio ya kujifunza kutoka kwa mtu, bali ni tabia na hulka ya mhusika. Unaweza kumwona mtu aliyeathirika na mambo haya, ukajiapiza kuwa hutokuja kufanya upuuzi huo, lakini akili ya binadamu imeumbwa kusahau. Utajikuta baada ya muda kupita unarudia kufanya jambo ulilolikataa hapo awali.
 
Ni kweli mkuu sema hapa tunachangamsha genge tu vingine usivitilie maanani kiivo 🙃! Ajali kazini but kuna cha kuendelea kujifunza pia!!
 
UKO KWENYE GENGE LA UJAMBAZI, UMETOKA KUFANYA UJAMBAZI. UNAPIGIWA SIMU NA MTU HUMJUI (ingawa alitumia simu ya mtu wako) ANAKUAMBIA UJE SEHEMU FULANI, UNAFUNGA HARAKA BIASHARA NA KUJIPELEKA..[emoji38][emoji38].

INAWEZEKANA HUYO MTATIRO KAKAMATWA NA AMEBANWA ATAJE WASHIRIKA WAKE WA UJAMBAZI, UMUGHAKA UNAJIPELEKA!!!!! JAMBAZI HAWEZI KUWA NA AKILI YA HOVYO HIVI.

Sauti "Wewe bila shaka ni Umughaka"

Mimi "Ndiyo"

Sauti "Hebu kama unaweza njoo hapa Bugando"

Mimi "Niko mbali kidogo"

Sauti "Uko nje ya Mwanza?"

Mimi "Nipo Hungumalwa"

Sauti "Jitahidi ufike haraka"

Sikutaka kupoteza muda pale mnadani,nilichukua mzigo wangu nikaufunga
 
Sasa huyu si Ni jambazi mwanafunzi?? Atapata huo ujanja kadri anavyokutana na mabalaa Kama kukamatwa kwa mtego Kama huo!!!
 
askari gani smart,atumie simu ya rafiki yako kukupigia kwa sauti yake?lazima angemwambia mtatiro ndo apige,kama kwa yule dada wa pesa za bandia,kule musoma alipiga yeye kumwita umughaka,na akaenda.
 
Sasa mtu ameachana na rafiki yake akiwa anaumwa na simu imepigwa kutokea Bugando Hospital, logically alishajua jamaa yake Mtatiro amezidiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…