Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Majambazi Jipe na Gabi wanawasiliana kwa simu muda mfupi kabla ya tukio.Wakati tukio la mwanzo akina Mtatiro waliacha simu Chuga wakaenda Kahama kufanya tukio!Sheria za genge lao zinabadilikabadilika au mwandishi anakosa consistency?Majambazi smart wa matukio kama hayo hawatumii masimu kwenye tukio bhana.....
 
Umughaka, unakipaji kikubwa sana, hadithi imekidhi vigezo kwa kugusa nyanja mbalimbali za maisha yetu.

Nimeburudika, nimejifunza na kuelimika. Barikiwa sana sana!
Binafs kuna wakat natulia kmya nikizisoma episode na comment za mateja wenzangu licha ya kua nlitakiwa niwe natimiza baadhi ya majukum ya uingizaji wa kpato cha familia lkn ata sijali UMUGHAKA anatosha kwa sasa
 

Huu ndio ujuaji wa kijinga kila mda tunauzungumzia. Mbona mnajikuta ma-director sana kwenye kibwebwe kisicho wahusu. Mkiona ana puyanga si mkae muandike za kwenu kisha mziweke vile mnavyotaka ziwe?

Kwenye mtiririko wa story ake kuna mahala aliposema ye ni Jambazi konki? Kuna chuo amekwambia au amesimulia kua alienda kusomea ujambazi hivo keshakua Pro so hakupaswa kufanya mistake alizofanya?

Na namna mnavyoziona hizo mistake za kihalifu so mnataka kutushawishi tuone kua nyie ndio mijambazi mlio kubuhu so mnazijua mbinu zote au vp?

Waswahili tuna shida gani lakini? Mnachowashwa kitu gani kwani? Kama story mnaona ina chai nyingi si mpite tu kule kimya kimya 🤣...

Em acheni ujuha wa kipumbafu, kaandikeni zenu basi zilizo 100% perfect. Mnaboa sana! Huo ujuaji wenu em uwekeni kwenye maisha yenu ya kila siku yawe perfect ili msikae jukwaani mnasubiri story za uongo!

Mijitu mizima ya hovyo kabisa, wakati wengine wanasoma kujiburudisha yenyewe yanasoma kutafuta makosa utafikiri yanafanya udahili wa waandishi. Hivi na huko mtaani kwenu mnaishije na jamii zenu watu wa aina yenu mmh?
 
Ndugu Asante. Mbona sometimes mtu anaweza kuwa great thinker bila kutoa neno.
 
DhuD
 
Sasa mtu ameachana na rafiki yake akiwa anaumwa na simu imepigwa kutokea Bugando Hospital, logically alishajua jamaa yake Mtatiro amezidiwa.
Mi nachoka watu wanavyojifanya wachambuzi😂
kuna watu wanasoma uzi ili watafute mapungufu tu yaani ndio walivyo huwezi kuwabadilisha, ni kuishi nao hivyo hivyo tu mkuu
 
Upo sahihi kabisa nakuunga mkono, but no one is perfect!

Kumbuka Umughaka sio professional criminal amedandia tu under influence ya Mtatiro. (He was just desperate and naive)

Tangu kwenye dili haramu ya fedha bandia Umughaka tumeona ana weeknes hii yakutokua na sixth sense.(machale)

Unadhani Mtatiro, Gabi au Jipe wangepigiwa simu kwa simu ya Umughaka halafu anaongea mtu mwingine wangekuja?
 
Sasa mtu ameachana na rafiki yake akiwa anaumwa na simu imepigwa kutokea Bugando Hospital, logically alishajua jamaa yake Mtatiro amezidiwa.
Mi nachoka watu wanavyojifanya wachambuzi[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakika umenibariki sana kwa huu ujumbe natamani sana kuona watu wajinga kama huyo jamaa wanausoma huu ujumbe in a positive way wabadirike waache upumbavu uliokithiri mijitu muda wote inaingia humu kwa ajili ya kukosoa wenzao inakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…