Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Bosi kubwa kakimbia nchii.. jipe is dedooo palepale, Gabi Jelaaa,, Mtatiro diseased Umu G tapeliwaaa... kweli karma is a bitch,, malipo ni hapahapa na sote tu watenda dhambi!!!!
 
𝐌𝐭𝐚𝐭𝐢𝐫𝐨 𝐧𝐨𝐦𝐚 𝐚𝐬𝐞𝐞𝐞!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipokumbuka kipande cha Mtatiro kuumwa na kuitwa Bugando,imenifikirisha sana nikahis ni ya kutunga maana hiki kipande kilikuwa hakina umuhimu sana
Tayari wajuaji na wachambuzi wameshatia timu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimejifunza KARMA ipo kiuhalisia ,
nkifikiria ujambazi woote huo hakuna la maana ulofanya, hakuna ulposema umesmamisha au kununua mjengo hakuna uliposema una ndinga lako kalii, au una mapene ya kutosha.

Yote Kwa yote umerudi palepale pa mwanzo na Sasa unaenjoy na boda Yako..

Asante Kwa simulizi.
 
Barikiwa sana Mkuu.

Tunaomba ukijaliwa muda na uzima utusimulie kisa cha kufeli form six kisa Penzi la binti wa Kitanga.
 
Wewe nna wasiwasi na elimu yako, so unahisi mbeya ni kama wapi au anashindwa nini kwenda Mbeya? Au unahisi huwa anaenda na bodaboda hadi mbeya? Ifike hatua muanze ku share vyeti vyenu vya kuzaliwa tujue umri wa watu tunaojibizana nao kwanza!
Hiv unajua pesa zilivyo tamu na maisha yalivyobana,sasa eti uache kazi yako ukamuone mtu alieko mbali ambako utatumia karibia siku 5
 
Yaani ww hushituki kuwa hela zilikuwa zikirudi kwa wenyewe
 
Wewe bwege acha ujuaji. Amekuambia alikwenda na pikipiki? Kwani bodaboda hawezi kuwa na nauli ya kumfikisha Mbeya? Wa hovyo kabisa wewe.
Tatzo sio hela ni muda atakao tumia kwenda Mbeya wakati ilitakiwa awe anaingiza hela,kwa sisi wahangaikaji wa mtaani huwa hatupendi kupoteza muda hovyo kila siku unatamani hela iingie

Nyie waajiriwa hamuwez elewa
 
Unamaanisha boda boda hawana majukumu mengine yakifamilia, ndugu, jamaa, na marafiki , wenyewe ni kushinda na kulala barabaran??
Hilo la kwenda Mbeya sio muhimu sana kwa jinsi watu tunavyokmbizana na maisha,huwez poteza siku tano za kwenda na kurudi eti kwenda kumuona mtu ambae kafungwa miaka yote hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…