Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hahaha.........nimeisoma yote.

Kumbe ukiwa na tu milioni twako kadhaa unatakiwa kukaweka Benki kabla Wazee wa kazi hawajaja kuzichukua
Ukiweka benki ubakishe kidogo ya kuwafurahisha wazee wa kazi wakija,..unadhani jipe angemuamini haraka Magige kama Magige angekuwa hana hela kabisa?

Hakyanani angemuua,kumbuka wametoka arusha kumfuata Magige halafu awaambie pesa yote IPO benki, jibu moja tu LA Magige akatandikwa risasi ya mguu,.😂
 
Dah nimeona hi taarifa nikamkumbuka jamaa wetu umughaka
 
Ila wale wahuni hawana huruma, tena ukizingua wanaweza kuwapiga Risasi familia nzima
 
Hakika umenibariki sana kwa huu ujumbe natamani sana kuona watu wajinga kama huyo jamaa wanausoma huu ujumbe in a positive way wabadirike waache upumbavu uliokithiri mijitu muda wote inaingia humu kwa ajili ya kukosoa wenzao inakera sana
Unadhani hawajui kuwa wanakosea?....wanajua sana ila wanajitia kusimamia misimamo yao ya ki dwanzi,wanataka kujiona wanaona mbali sana tofauti na wengine,yani kuwa wao ndio wenye akili mingi za kuwaza na kupambanua mambo,yani kichwani mwao wako vizuri kumbe ni mijinga isiyo kuwa na busara,kujifanya yana elimu zaidi na pengine ukiyagusa kidogo yatakuambia yanafanya kazi nzuri na yana maisha mazuri kumbe waeza kuta yanauza m Ku ndu mtaani,mijitu inakera sana Ku ma ma e zao,Mimi huwa kuna mijitu hata post zao nikiona li jina lake hata kusoma sisomi,na scroll kutafuta post zenye maana,nasubiria limoja lijipendekeze kwenye post yangu litafurahi,na BAN itanihusu
 
natamanj sana kusoma story yako boss
 
Reactions: rr4
tunasubri yako yenye consistency bro
 
Mjuaji Tumekuachia Kazi ya Uchambuzi
 
Jmn yaani yey ameshakuwa Ni mzee wa visa tu hpn jmn mm naona umughaka siyo kila kitu ukaeleza hapa wanna wanaweza kukuomba usimulie jinsi unavyo ishi nyumbani kwako sasa

Lbda kma unayo ya mtu mwingi usimulie ila zakwako binafsi hpn
Mbona umekua na kiherehere sana kwa umughaka anagalia asije akakupiga mbupu, unajipa umuhimu kwake ambao hauna
 
Ukisikia story ndio hii inaenda na uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana kwa burudani iliyotukuka! Yani kuna wakati nilikuwa nahama kabisa najiona nipo eneo la tukio.

Leo nilikuwa Migori nikawa nakumbuka wakati umekimbilia hapo ukiwakimbia mapongo!
 
Ahsante sana kwa burudani iliyotukuka! Yani kuna wakati nilikuwa nahama kabisa najiona nipo eneo la tukio.
Leo nilikuwa Migori nikawa nakumbuka wakati umekimbilia hapo ukiwakimbia mapongo!
Anaonekana ni mtu poa.. hana kinyongo na ana upendo wa kweli(mfano kwa rafiki yake mtatiro)

Ni mpambanaji sana...kwenye story zake mbili nilizo soma naamini humu humu atakutana na watu wema zaidi wakumtoa kimaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…