Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]
images.jpg
 
Kuna wakati unajitoaga akili sana kule kwenye jukwaa la sports,sijui kwanini unakuwa mshamba wa kutambua kuwa ukikoment chechote lazima kisomwe
Kaka kwani unanidai? Mbona unakuja wa moto sana...ukiona sikufurahishi basi kaa kushoto maana sipo hapa kukufurahisha wewe au mtu yoyote yule. Eti kwanini nakua mshamba haha unachekesha sana kijana sasa tuache kutaniana kisa naogopa kuna mtu anasoma? Na akisoma au ukisoma so whattt?? Hunijui sikujui
 
Back
Top Bottom