Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mkuu story Yako inasisimua sana narudia tena hongeraHilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218
Nililivutia picha hili hili[emoji1787][emoji1787] haya ndo mabegi ya wahalifuHilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218
Haha!! Duffle bag, hilo ni spesho kabisa kwa mission hizo.Hilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218
Umenikumbusha night shift.Hii story tamu. Imenifanya hangover ya usingizi wa lindoni ipotee
Na ulivokimbilia Kenya ulikua umebakiza kama Milioni ngapi MkuuHilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nililivutia picha hili hili[emoji1787][emoji1787] haya ndo mabegi ya wahalifu
Begi si ndo kama hilo ngoja nikachukue mzigo kwa gabi nikimbizeHilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218
Kaka kwani unanidai? Mbona unakuja wa moto sana...ukiona sikufurahishi basi kaa kushoto maana sipo hapa kukufurahisha wewe au mtu yoyote yule. Eti kwanini nakua mshamba haha unachekesha sana kijana sasa tuache kutaniana kisa naogopa kuna mtu anasoma? Na akisoma au ukisoma so whattt?? Hunijui sikujuiKuna wakati unajitoaga akili sana kule kwenye jukwaa la sports,sijui kwanini unakuwa mshamba wa kutambua kuwa ukikoment chechote lazima kisomwe
Naona kule wadau wanaipondea sana ,ndio maana sikuisomsema
Sana ..!! Nahisi hajagundua kama ana kitega uchumi kingine cha huandishi wa riwaya .Jamaa anajua hadi kapitiliza
Tunasubiri muendelezo tujue ulipotokea upande wa kenya ikawaje😊Hilo ndilo mfano wa begi ambalo jamaa aliniletea lililokuwa na hela,ingawaje lile halikuwa jeusi bali lilikuwa la rangi ya kahawia lakini kimuundo lilifanana na hili [emoji116]View attachment 2398218