Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Shusha vitu usijibu maswali bana.Mkuu Hoaxer huo utaratibu kwa mipakani ni kitu cha kawaida kabisa,labda kama hujawahi kukaa mipakani,uliza wenyeji wa Sirari wakuambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha vitu usijibu maswali bana.Mkuu Hoaxer huo utaratibu kwa mipakani ni kitu cha kawaida kabisa,labda kama hujawahi kukaa mipakani,uliza wenyeji wa Sirari wakuambie
Asante kwa taarifa. Kumbe nikihamishiwa Tarime naweza kua na nyumba ndogo Migori, nakwenda kupunguza stress Kenya na kurudi kulala Bongo.Mkuu Hoaxer huo utaratibu kwa mipakani ni kitu cha kawaida kabisa,labda kama hujawahi kukaa mipakani,uliza wenyeji wa Sirari wakuambie
mipakani ni jambo la kawaida kabisa hata kuvuka kwenda kunywa upande wa pili ukimaliza unarudi upande wako.UMUGHAKA unaingia nchi za watu bila passport ?
Huyo hata usimjibu ni mtoto wa mamaMkuu sio kwa ubaya lakini kwa tamaduni za makabila mengi ya kanda ya ziwa wasukuma,wakurya n.k kijana hata wa miaka 25 anaadhibiwa kwa viboko vizuri tu na hana la kufanya....Kwa angle hio naweza mtetea mleta mada.
No. Icho sio kihaya. Kikurya OG tatooo[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Wewe unachukulia serious stories za jamaa? Huwa zina walakini sema watakuja vilaza kukushambulia. Maana wataona unawakatisha stories. They dont question. They just swallow....watakushukia. we subiri tu
Wachaga kuna clips ilitembea.mwaka juzi libaba na familia lililambwa viboko vya kutosha kwa (kama sijakosea) ULEVIMkuu sio kwa ubaya lakini kwa tamaduni za makabila mengi ya kanda ya ziwa wasukuma,wakurya n.k kijana hata wa miaka 25 anaadhibiwa kwa viboko vizuri tu na hana la kufanya....Kwa angle hio naweza mtetea mleta mada.
Algu hamkunitag hadi nakuja kubahatishaDuuu stori kali
Jamaa anashangaa form 6 kuzingua akalambwa viboko....Wachaga kuna clips ilitembea.mwaka juzi libaba na familia lililambwa viboko vya kutosha kwa (kama sijakosea) ULEVI
Unajua Kuna ka ukweli kwamba, wanawake wenye mavi mengi kichwani hakuna kitu.UMUGHAKA huna picha ya demu wa Gabi?
Hiyo mbona kawaida mkuu. Sisi wamachame tunawachapa, Wamasai, wasukuma, Wameru, waarusha n.k bado mila zipo na hata ukiwa na familia yako, unalambwa stiki. Huyo dogo si kula kulala hapo kwa shem wake ndio maana ujuaji mwingi.Wachaga kuna clips ilitembea.mwaka juzi libaba na familia lililambwa viboko vya kutosha kwa (kama sijakosea) ULEVI
kichwa cha chini ndio kilishika hatamu.UMUGHAKA simu ya mume haipokelewi, wewe unajipeleka kwa kuitwa na mwanamke.
Wewe Ni bwege na nusu.
Wachaga kuna clips ilitembea.mwaka juzi libaba na familia lililambwa viboko vya kutosha kwa (kama sijakosea) ULEVI
Naunga mkono hojaHiyo mbona kawaida mkuu. Sisi wamachame tunawachapa, Wamasai, wasukuma, Wameru, waarusha n.k bado mila zipo na hata ukiwa na familia yako, unalambwa stiki. Huyo dogo si kula kulala hapo kwa shem wake ndio maana ujuaji mwingi.