Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nlijua nko pekeangu kumb we pia ni miongon mwaoHii stori ishatufanya mateja aloi
Hawa dagaa ni wakubwa kwa umbo kuliko awa wa kawaida wao wana miba kwenye ncha za migongo na tumbo lkn pia hubabuliwa na moto kabla ya kuingizwa sokon"Ufuru" nilijua ni mambegu kumbe ni dagaa [emoji849] mweh tembea huone ...!! Mimi nishazoea uwono bhna.
Hahahaaaaa..........me too kaka,yalikuwaga maeneo yangu sana hayo enzi hizo,...nikitokea babati naenda kuchakaza hayo maeneo yote nyuma ya Mlima kwaraa natokea kwa galapo,....Ghatesh, Gijedabung,Mamire,Gallapo,Endakiso, Endamanang I miss those place
Kweli namimi nathibitisha kwamba huyu mtu ana shida Sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kuna muda unaweza ukawa na shida fulani lakini usijue kama unayoshida! Unachotakiwa kukubali kwanza ni wewe kuwa unayoshida hiyo...
Mkuu una shida ya R na L soma ulicho kiandika!
Mamy hongera sana umejazia kinoma.Ahahahh kumbe hii ni story yako kila saa naipita pita nikaona lbda michosho ya vijana wa hapa jf wanaleta chai
Aisee kumbe una mikasa mingi hvyo