Nilivyooa Kimasihara

Basi wanawake wa jf waliotolewa bikra kwenye matuta ya viazi na ahadi za chips yai wakaishia kuwa single mama wanajifanya kusema ”ndefu sana sijasoma yote nimeishia katikati ” kumbe wamesoma yote ni wivu tu unawasumbua.

Ukweli hao madogo wanaosema humu kataa ndoa akija kwao binti kwa ahadi yupo seals 100% wote watatundika daluga na kutangaza ndoa kinawatisha magumegume yaliyojaa mitaani.
 
😀😀🤣🤣🤣
 
Nyambafu sana wewe!!! Eti hela sizichukui labda mwizi aje azichukuwe!!
 
Kuna stori nyingi nzuri ambazo zinaweza kubadilishwa zikawa muvi kali kuliko mamuvi chefu yanapromotiwa bongo muvi
 
Hongera sana!
 
Nimejifunza jambo ila ni bonge la story
 
Hongera sana, Shukuru kagari na hivyo vibunda vyako. Na uvitunze sana maana Bikra tu hailindi ndoa.😅
 
Unaweza kulala na stranger uchi ukiwa uchi?

Mwanaume unalala na mwanamke akiwa uchi halafu kisitokee chochote?

Hizo ni points tosha kuna chai hapa au ameonfeza chumvi kupitiliza.
Bikira wanakuwaga naive yani reasoning capacity yao iko chini km mtoto wa miaka 10 hawaogopi wala kujua hatari ya mwanaume na huo ujinga unaendelea ikiwa tu akidumu na aliyemtoa bikira mfano wa huyu mke wa jamaa afanye juu chini asimkwaze basi ataishi vizuri hadi ashangae ila akimletea mapicha picha kuna sehemu kasema amewahi kuchepuka wife akijua hilo na likajirudia akikata tamaa akakutana na me mwingine ajue kaisha wanabadilika vibaya sana hatoamini km ni yeye
 
Safi sana, zile kataa ndoa. Nachukua paka ndoa itadumu vipi


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…