Nilivyooa Kimasihara

Nilivyooa Kimasihara

Enzi za JK vijana pesa walikua hawajui waweke wapi aisee.
Ulikula sana bata kijana, hujibana ujenge wala ujinga wa namna hiyo.

Hamna pisi ambayo ingechomoa kwa namna ulivyokua unatoa vibunda ni HAKUNA.
Hiyo kazi ilikua ni ndogo sana ila malipo uliyokua tayari kuyatoa ni makubwa.
Acha tu ndugu yangu. Alivoingia JPM tulinyoka aisee. Bila huyu mwanamke ningekuwa sina hata pagale. Kuoa sometime ni baraka especially uoe mwenye akili.
 
Asante kwa hadithi tamu, sasa tunasubiria part 2 ambapo. Yule boyfriend wake anaanza kumtafuta na kutaka game na wewe michepuko ya Bar imeanza kukumiss.
 
Asante kwa hadithi tamu, sasa tunasubiria part 2 ambapo. Yule boyfriend wake anaanza kumtafuta na kutaka game na wewe michepuko ya Bar imeanza kukumiss.
Toka nioe nimeshachepuka mara moja napo nilikuwa mbali nae, hit and run. Ila sijawahi hata fikiria kuwa na mchepuko. Huyo jamaa ake alizamia Malaysia huko na kuoa huko huko. Niko makini sana kumprotect my wife, kwa heri au kwa shari. Hata angerudi asingeweza fanya upuuzi. Najua nachosema. I love my wife so dearly.
 
hii itatufanya turudi mbalizi labda tutapata sampuli kama za mwana kungineko tutakunywa azuma tuchanganyikiwe
Achana na Mbususu za humu JF, wikiend ndo hii tukutane tukagonge 🍸 lakini sio kununua Mbususu kwa buku 3, matibabu 30K😂😂😂
 
Sawa na sisi tutaongeza viungo kwenye chai, haiwezekani msome maisha yetu ya kwenu mfungie kwenye kabati
Chai zinajulikana mbona, halafu..mbona maisha mengine hata nyie mnafungia kwenye kabati tu🤣🤣🤣🤣
 
Kama movie ya The proposal mkuu..humu yupo Ryn rynols na Sandra bullock well done kwenye tafsiri.👌
 
Back
Top Bottom