Nilivyopambana maiti ya tajiri isizikwe kwenye kaburi langu

Nilivyopambana maiti ya tajiri isizikwe kwenye kaburi langu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kule New York kuna makaburi fulani yanaitwa Green Wood Cemeteries, pale hazikwi mtu yoyote, ni mastaa na matajiri, unalipia hela nyingi.nilikuwa naona kama uchuro fulani kununua sehemu utakayozikwa ila baadae nilijua umuhimu wake.

Hata hapa nchini utaratibu huo upo wa kununua plot mapema ya sehemu utakapozikwa siku ukifa(nadhani tunafahamu makaburi ya xxxxxx sio kila mtu anazikwa pale, yako reserved)

Miaka kadhaa iliyopita niliona si vibaya na mimi nilipie 'plot yangu'

Unajua sie tuliozaliwa mjini ukizubaa ukikata moto utazikwa Mbagala bila kupenda na miaka yote ukiwa hai uliponda kuishi Mbagala

Nilijenga utamaduni wa kutembelea ile 'plot' yangu na kuwasalimia walinzi wa pale

Kuna siku nikapigiwa simu na mlinzi akidhani nimekufa maana kuna watu wanachimba kwenye 'plot' yangu nikamwambia mi ni mzima nakuja fasta.

Kufika pale nakuta maandalizi ya kumzika yule mfanyabiashara kwenye the so called kaburi langu nikiwa na full documents za malipo.

Kimbembe niligoma kabisa asizikwe pale maana nilikuwa na rafiki yangu ni askari niliambatana nae akiwa kwenye gwanda.

Kilichofuata ile plot ilibidi watupe hela ndefu nadhani ni balance ya michango ya msiba. Ile hela nisingeweza kuiacha, niliichukua na kutatulia matatizo yangu.
Nikifa nizikeni popote tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]daahh...Kuna mtu alinnua miaka 2006 huko kannua April ,June kavuta tukaenda mzika siye huko Kino clan kwake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kule New York kuna makaburi fulani yanaitwa Green Wood Cemeteries, pale hazikwi mtu yoyote, ni mastaa na matajiri, unalipia hela nyingi.nilikuwa naona kama uchuro fulani kununua sehemu utakayozikwa ila baadae nilijua umuhimu wake.

Hata hapa nchini utaratibu huo upo wa kununua plot mapema ya sehemu utakapozikwa siku ukifa(nadhani tunafahamu makaburi ya xxxxxx sio kila mtu anazikwa pale, yako reserved)

Miaka kadhaa iliyopita niliona si vibaya na mimi nilipie 'plot yangu'

Unajua sie tuliozaliwa mjini ukizubaa ukikata moto utazikwa Mbagala bila kupenda na miaka yote ukiwa hai uliponda kuishi Mbagala

Nilijenga utamaduni wa kutembelea ile 'plot' yangu na kuwasalimia walinzi wa pale

Kuna siku nikapigiwa simu na mlinzi akidhani nimekufa maana kuna watu wanachimba kwenye 'plot' yangu nikamwambia mi ni mzima nakuja fasta.

Kufika pale nakuta maandalizi ya kumzika yule mfanyabiashara kwenye the so called kaburi langu nikiwa na full documents za malipo.

Kimbembe niligoma kabisa asizikwe pale maana nilikuwa na rafiki yangu ni askari niliambatana nae akiwa kwenye gwanda.

Kilichofuata ile plot ilibidi watupe hela ndefu nadhani ni balance ya michango ya msiba. Ile hela nisingeweza kuiacha, niliichukua na kutatulia matatizo yangu.
Nikifa nizikeni popote tu
binadamu akisha zimika jina lake linabadilika anaitwa maiti(mzoga) thamni yake uisha kuanzia kwa mkewe watoto wazazi dugu na majirani na marafiki

kama aikuwa analalia kitanda kizuli shuka safi kiyoyozi kila siku anabadilisha nguo magali akisha zimika tu wakwanza ni mkewe usema mtoe humu ndani mpeleke mochwali

mzoga huo hata uzikwe wapi hauna tena thamani hata umvishe shuti maua sanduku la nakishi ya dhahabu kazi bule tu mzoga ni mzoga hauna thamani
 
Kule New York kuna makaburi fulani yanaitwa Green Wood Cemeteries, pale hazikwi mtu yoyote, ni mastaa na matajiri, unalipia hela nyingi.nilikuwa naona kama uchuro fulani kununua sehemu utakayozikwa ila baadae nilijua umuhimu wake.

Hata hapa nchini utaratibu huo upo wa kununua plot mapema ya sehemu utakapozikwa siku ukifa(nadhani tunafahamu makaburi ya xxxxxx sio kila mtu anazikwa pale, yako reserved)

Miaka kadhaa iliyopita niliona si vibaya na mimi nilipie 'plot yangu'

Unajua sie tuliozaliwa mjini ukizubaa ukikata moto utazikwa Mbagala bila kupenda na miaka yote ukiwa hai uliponda kuishi Mbagala

Nilijenga utamaduni wa kutembelea ile 'plot' yangu na kuwasalimia walinzi wa pale

Kuna siku nikapigiwa simu na mlinzi akidhani nimekufa maana kuna watu wanachimba kwenye 'plot' yangu nikamwambia mi ni mzima nakuja fasta.

Kufika pale nakuta maandalizi ya kumzika yule mfanyabiashara kwenye the so called kaburi langu nikiwa na full documents za malipo.

Kimbembe niligoma kabisa asizikwe pale maana nilikuwa na rafiki yangu ni askari niliambatana nae akiwa kwenye gwanda.

Kilichofuata ile plot ilibidi watupe hela ndefu nadhani ni balance ya michango ya msiba. Ile hela nisingeweza kuiacha, niliichukua na kutatulia matatizo yangu.
Nikifa nizikeni popote tu
adriz mutu ya allah umesoma hapo kuhusu mbagala jamaa anavyoiponda?
 
Kule New York kuna makaburi fulani yanaitwa Green Wood Cemeteries, pale hazikwi mtu yoyote, ni mastaa na matajiri, unalipia hela nyingi.nilikuwa naona kama uchuro fulani kununua sehemu utakayozikwa ila baadae nilijua umuhimu wake.

Hata hapa nchini utaratibu huo upo wa kununua plot mapema ya sehemu utakapozikwa siku ukifa(nadhani tunafahamu makaburi ya xxxxxx sio kila mtu anazikwa pale, yako reserved)

Miaka kadhaa iliyopita niliona si vibaya na mimi nilipie 'plot yangu'

Unajua sie tuliozaliwa mjini ukizubaa ukikata moto utazikwa Mbagala bila kupenda na miaka yote ukiwa hai uliponda kuishi Mbagala

Nilijenga utamaduni wa kutembelea ile 'plot' yangu na kuwasalimia walinzi wa pale

Kuna siku nikapigiwa simu na mlinzi akidhani nimekufa maana kuna watu wanachimba kwenye 'plot' yangu nikamwambia mi ni mzima nakuja fasta.

Kufika pale nakuta maandalizi ya kumzika yule mfanyabiashara kwenye the so called kaburi langu nikiwa na full documents za malipo.

Kimbembe niligoma kabisa asizikwe pale maana nilikuwa na rafiki yangu ni askari niliambatana nae akiwa kwenye gwanda.

Kilichofuata ile plot ilibidi watupe hela ndefu nadhani ni balance ya michango ya msiba. Ile hela nisingeweza kuiacha, niliichukua na kutatulia matatizo yangu.
Nikifa nizikeni popote tu
hakuna binadamu mwenye kaburi
 
Kule New York kuna makaburi fulani yanaitwa Green Wood Cemeteries, pale hazikwi mtu yoyote, ni mastaa na matajiri, unalipia hela nyingi.nilikuwa naona kama uchuro fulani kununua sehemu utakayozikwa ila baadae nilijua umuhimu wake.

Hata hapa nchini utaratibu huo upo wa kununua plot mapema ya sehemu utakapozikwa siku ukifa(nadhani tunafahamu makaburi ya xxxxxx sio kila mtu anazikwa pale, yako reserved)

Miaka kadhaa iliyopita niliona si vibaya na mimi nilipie 'plot yangu'

Unajua sie tuliozaliwa mjini ukizubaa ukikata moto utazikwa Mbagala bila kupenda na miaka yote ukiwa hai uliponda kuishi Mbagala

Nilijenga utamaduni wa kutembelea ile 'plot' yangu na kuwasalimia walinzi wa pale

Kuna siku nikapigiwa simu na mlinzi akidhani nimekufa maana kuna watu wanachimba kwenye 'plot' yangu nikamwambia mi ni mzima nakuja fasta.

Kufika pale nakuta maandalizi ya kumzika yule mfanyabiashara kwenye the so called kaburi langu nikiwa na full documents za malipo.

Kimbembe niligoma kabisa asizikwe pale maana nilikuwa na rafiki yangu ni askari niliambatana nae akiwa kwenye gwanda.

Kilichofuata ile plot ilibidi watupe hela ndefu nadhani ni balance ya michango ya msiba. Ile hela nisingeweza kuiacha, niliichukua na kutatulia matatizo yangu.
Nikifa nizikeni popote tu
Aisee F2B.
 
Back
Top Bottom