Nilivyopata faida ya 800k kwa Biashara ya Kondoo

Nilivyopata faida ya 800k kwa Biashara ya Kondoo

We nae umekuja na hivyo vingereza tu....sioni cha tofauti na alichokieleza mtoa mada, Utakuwa mhaya wewe sio bure
Hiyo ni kanuni ya wahasibu watunza vitabu vya fedha. Ameelezea kitu very deep hapo ila tu haujamuelewa. Yaani alichofanya ni kusema unachukua hela ya mauzo uliyopata ya kondoo uliouza, halafu unatoa kiasi cha pesa sawa na thamani ya kondoo waliobakia yaani ndio huitwa closing stock, jibu utakalopata ndio unatoa sasa gharama za uendeshaji kinachobakia ndio faida yenyewe ambayo huitwa netprofit.
 
FAIDA NI NINI?

Tuanzie hapo, huenda faida ina maana tofauti kwa upande wako. Nitaeleza namna ninavyojua nin maana ya faida alafu naomba na wewe utueleze faida kwako ni nini.

Faida ni ongezeko la pesa, thamani ya bidhaa baada ya kuuza.

Mfano No. 1 :-nimenunua gari china millioni 3 nikasafirisha mpaka TZ, gharama za kununua na usafirishaji na kila kitu ikawa millioni 10. Alafu nikaliuza hilo gari kwa Millioni 15. Nitakuwa nimelata faida ya 5M

Mfano No. 2 :- nimenunua suruali elfu 10 kariakoo nikaileta hostel za magufuli nikaiuza elfu 14. Kununua, kuifata na kuieleta mahali nimeuza imenigharimu elfu 12 Hivyo basi nitakuwa nimepata faida ya elfu 2

Nimetoa mifano miwili hapo juu ili kuonesha faida ni pesa yoyote iliyokngezeka aidha iwe kubwa au ndogo. Aliyeuza gari amepata faida ya 5M na aliyeuza suruali kapata faida ya elfu 2

Zote ni faida hizo mbili ni faida. Faida ni kuuza zaidi ya ulivyonunua na gharama za uendeshaji kama business itakubidi ufanye hivyo. Haijilishi ni kubwa sana au ndogo sana.

Nataman kuandika mambo mengi zaidi ila i hope umenielewa
Kama umewaelewa wanaochallenge hiyo idea ya mleta uzi wanachosema wao ni kuwa unaweza kusema umepata faida ya kiasi fulani Kwenye biashara unayofanya halafu nyuma ya pazia kuna maisha yako yamesimama yaani tunasema opportunity cost yako ni kubwa, kwa maana ume sacrifice vingi kupata kidogo.
 
Ulitumia Dawa gani y kunenepesha kila mwezi ulizo kua unawapatia kondoo.?
Aiseee mbona huyu brother hajibiwi swali lake hebu msaidieni anataka kujua mlilisha nini hao makondoo wakanenepa. [emoji23]
 
Kama umewaelewa wanaochallenge hiyo idea ya mleta uzi wanachosema wao ni kuwa unaweza kusema umepata faida ya kiasi fulani Kwenye biashara unayofanya halafu nyuma ya pazia kuna maisha yako yamesimama yaani tunasema opportunity cost yako ni kubwa, kwa maana ume sacrifice vingi kupata kidogo.
Anhaa kama walimaanisha hivyo sawa
 
Back
Top Bottom