Nilivyoponyoka fumanizi namnani

Nilivyoponyoka fumanizi namnani

Ila hizi dini bhana, mama mchungaji anapiga pombe. Unakuta na baba mchungaji anaiba sadaka. Aisee!
Nilishawahi kutongozwa na baba paroko.
Tulikaa seat moja kwenye fast jet ya mwanza dar.
Halafu alikuwa mzeee kinoma.
Mzee hasa.
Nilimpa no ya simu fake pale pale akaipiga.
Nikajifanya nimekosea.
Nikampa ya ukweli.
Sasa nikawaza huyu mzee yaani mzee haswa ngozi imeshaachana na mifupa ana mapengo anataka anipe kesi.
 
Nilishawahi kutongozwa na baba paroko.
Tulikaa seat moja kwenye fast jet ya mwanza dar.
Halafu alikuwa mzeee kinoma.
Mzee hasa.
Nilimpa no ya simu fake pale pale akaipiga.
Nikajifanya nimekosea.
Nikampa ya ukweli.
Sasa nikawaza huyu mzee yaani mzee haswa ngozi imeshaachana na mifupa ana mapengo anataka anipe kesi.
Vp ulimpa utamu?
 
Nilishawahi kutongozwa na baba paroko.
Tulikaa seat moja kwenye fast jet ya mwanza dar.
Halafu alikuwa mzeee kinoma.
Mzee hasa.
Nilimpa no ya simu fake pale pale akaipiga.
Nikajifanya nimekosea.
Nikampa ya ukweli.
Sasa nikawaza huyu mzee yaani mzee haswa ngozi imeshaachana na mifupa ana mapengo anataka anipe kesi.
Kwani unakata sana mauno hadi uliogopa?
 
Vp ulimpa utamu?
Hapana aisee.
Siku moja alinipigia kichwa kilikuwa kimeshawaka moto nilimpa maneno yake hakupiga tena.
Sijui kama yupo hai ni zaidi ya miaka 8 nyuma.
 
Nilikuwa natafuna mke wa mchungaji kila Ijumaa (ile mida ya mchana). Naenda namchukua pale jengo la VIVA (ofisi kapuni), naenda mtafuna Namnani mpaka saa 11 jioni namrudisha kwake Ubungo Maziwa saaafi.

Sasa kumbe Baba Mchungaji anatufuatilia. Sasa siku ya siku natafuna chumbani, bibie akawa anataka Castle Lite; napiga simu reception hawapokei, nikavaa nguo ili nikamchukulie mwenyewe. Ile nafika reception namuona Mchungaji na ma-camera kibao, aisee nikaunga mazima hata gari nikalisahau (nikalifuata kesho yake alfajiri). Sijui kilichojiri huko.
Hii chai nitainywa kwa vibali vya To yeye , cocastic Demi
 
Back
Top Bottom