Usiombe hiyo hali japo yeye alifanikiwa kuingia
Ila wapo pia wanaotelekezwa na kisha kuzuiwa kuingia hivi anashuhudia wenzao wanaingia kama ilivyonitokea baada ya kutelekezwa pia
Kuna dogo alipofika Sweden akajiandikisha kama Shoga. So akawa anapata pesa na matibabu toka social welfare... baada ya kama miezi sita hivi Askari wa uhamiaji ambae ndo aliprocess asylum papers akaja mchana mmoja na maua pamoja na pete kumchumbia....🤣
Usiombe hiyo hali japo yeye alifanikiwa kuingia
Ila wapo pia wanaotelekezwa na kisha kuzuiwa kuingia hivi anashuhudia wenzao wanaingia kama ilivyonitokea baada ya kutelekezwa pia