Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tulia wewe witch daktareee 😂😂😂Sis hebu umwelekeze huyu Lamomy na umwambie ukweli hapa na ajue sio anakuwa na mahisia yake ya Kienyeji, Mimi nilikuwa nakuelekeza kutengeneza nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe witch daktareee 😂😂😂Sis hebu umwelekeze huyu Lamomy na umwambie ukweli hapa na ajue sio anakuwa na mahisia yake ya Kienyeji, Mimi nilikuwa nakuelekeza kutengeneza nini?
Nataka huyu huyu Lamomy, sina haja ya kunilengesha haya Mambo nina uzoefu nao kitambo na mpaka nimeamua kuyaacha maana sipati chochote zaidi kupoteza focus ya mambo yangu yaliyonifanya niendelee kuishi hapa dunianiHuwezi, ww ni muoga. Sema tukulengeshe sehemu
🤣🤣🤣🤣Nyie watu mbona mnarushiana Tena mpira?we nipe bwana si unajua mkono unaotoa ndio unaobarikiwa? Countrywide nateswaaa mimiWee ushindweeee 😂😂😂
Anifute undugu ili iweje?? Yani anikatae damu yake we huogopi?? 🤣
Sisy Joannah zile pesa bana za wizzy we mtumie namba zako akuingizie hizo pesa weekend hii ukapate mvinyo usafishe koo 😂😂
Amesema nitoe ruhusa, mm nimetoa ruhusa, Sasa subiri tuone kama atakua na sababu zingineSawa shemeji yangu 😍
Una wazimu wewe 😂😂😂Nataka huyu huyu Lamomy, sina haja ya kunilengesha haya Mambo nina uzoefu nao kitambo na mpaka nimeamua kuyaacha maana sipati chochote zaidi kupoteza focus ya mambo yangu yaliyonifanya niendelee kuishi hapa duniani
🤣🤣🤣AmarulaSis hebu umwelekeze huyu Lamomy na umwambie ukweli hapa na ajue sio anakuwa na mahisia yake ya Kienyeji, Mimi nilikuwa nakuelekeza kutengeneza nini?
Mswahili sana huyo Lamomy 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Nyie watu mbona mnarushiana Tena mpira?we nipe bwana si unajua mkono unaotoa ndio unaobarikiwa? Countrywide nateswaaa mimi
Sio vizuri lakini, sisy Joa mtu wetu sana huyu. Naomba fanya jambo ASAP, weekend iishe poa. Ni kumbless tuWee ushindweeee 😂😂😂
Anifute undugu ili iweje?? Yani anikatae damu yake we huogopi?? 🤣
Sisy Joannah zile pesa bana za wizzy we mtumie namba zako akuingizie hizo pesa weekend hii ukapate mvinyo usafishe koo 😂😂
Ukisema wewe shemeji yangu nani apinge?😍Sio vizuri lakini, sisy Joa mtu wetu sana huyu. Naomba fanya jambo ASAP, weekend iishe poa. Ni kumbless tu
Alafu manyaza mshauri wake mkubwa ni Mabakuli, Sasa unategemea nn hapo😂😂😂😂 Hana ushawishi wote wanamuona km shosti yao
Manyaza hujui nn unataka aisee😂Nataka huyu huyu Lamomy, sina haja ya kunilengesha haya Mambo nina uzoefu nao kitambo na mpaka nimeamua kuyaacha maana sipati chochote zaidi kupoteza focus ya mambo yangu yaliyonifanya niendelee kuishi hapa duniani
Anafanya makusudi tu, but naamini atakubless. Hana mkono mkono mzito kabisa kwenye kutoa, nashangaa kwenye hili sijui uzito unatoka wapi🤣🤣🤣🤣Nyie watu mbona mnarushiana Tena mpira?we nipe bwana si unajua mkono unaotoa ndio unaobarikiwa? Countrywide nateswaaa mimi