Nilivyowahi kutapeliwa na aliyejitambulisha ni polisi nikiwa jiji la Arusha

Arusha usela mavi mwingi ni kawaida kubadi baadhi ya maneno na kuongea mengine ya ajabu ajabu
 
Muonekano ndgu, ulionekana boya. Au labda ulikumbatia begi lako na uoga kama wote wakawa wanakuchora tu.

Hata mm nilitapeiliwa kiboya zaidi yako ni muonekano tu, mtu anakuchora the way unarespond anajua hili kolo.
Utapeli hauna formula, nikujuze tu ya kwamba hata mawaziri, maprofesa, wafanya biashara wakubwa, wasanii, wanatapeliwa.

factors za kutapeliwa ni nyingi sana,
 
usimcheke mtu kisa alitapeliwa au kuporwa
Hii tabia ya kuchekana kwa hapa kwetu ndio inarahisisha zaidi utapeli.

Mtu akitapeliwa anaona soo kuwaambia wengine anaogopa atadharaulika na kuchekwa, ajabu ni kwamba hata hao wataomcheka washapigwa na vitu vizito walipotezea kimya kimya.

Kuna mtu huu uzi kakomenti kwa kebehi ila nimefatilia post zake za nyuma alikuwa analalamika mganga kamtapeli dawa ya biashara

Nchi za wenzetu kuna magroup kabisa ya kuhaarishana mambo haya ili kuelimisha watu wajue kujitahadhari,
 
A
Anajisahau kama vile yeye siyo binaadamu aliyeumbwa akiwa na mapungufu
 
Ulokuwa muoga Sana ila pole hapo iaa ulisoma coz gani
 
Muonekano ndgu, ulionekana boya. Au labda ulikumbatia begi lako na uoga kama wote wakawa wanakuchora tu.

Hata mm nilitapeiliwa kiboya zaidi yako ni muonekano tu, mtu anakuchora the way unarespond anajua hili kolo.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…