mchizikichizi
Member
- Jan 8, 2014
- 6
- 3
We jamaa banaMIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.
HIYO TIMU MAGUMASHI.
MBOVU MNO.
Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.
RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa banaMIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.
HIYO TIMU MAGUMASHI.
MBOVU MNO.
Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.
RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Saido ni bonge la mpambanaji sema tu watu hawaelewi, ni fighterShida ya simba ni saido kutumika km namba 10 Dk zote 90
Kagera sugar vs Yanga matokeo pleaseBado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.
Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.
Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.
Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.
Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Umejuaje nabii?Hawa marefa wawe wanaachana na mapenzi kwa timu nasoro mwinchumu kaona kibu kajibwaga kaweka tuta ila mashujaa wangefanya hivyohivyo wangekula card
Anzisha ya kwako.MIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.
HIYO TIMU MAGUMASHI.
MBOVU MNO.
Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.
RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Nchi ngumu hii asikwambie mtu..!Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.
Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.
Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.
Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.
Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
SAIVI UMESTAAFU [emoji16]MIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.
HIYO TIMU MAGUMASHI.
MBOVU MNO.
Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.
RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Nchi bado ngumu sana [emoji16]Nchi ngumu hii asikwambie mtu..!
Yaani wewe fikiria timu yako imepata sare ambayo ni mpaka pale Marefa walipoingilia kati La sivyo ungepoteza...!
Sasa badala ya kujadili timu yako na ule Usajili Wa Wale mabalozi wa Konyagi na wengine kina Gwede gwede mtu anakomaa na Timu iliyoshinda, tena Ugenini..!
Tutafika tu,ila tukiwa tumechoka..!
ENDELEA KUWA FRESH [emoji16]Umeyaona ya Simba tu lakini litimu lako na Kagera hujaona. Tulieni dawa itawaingia fresh tu mbona
HAKIKATutawaomba Bodi ya Ligi wakishirikiana na chama Cha marefa, mechi zetu zote mwamuzi wa kati tupangiwe mwanamama TATU MALOGO.
PUNGUZA MAKASILIKOTafuta hela kisha tengeneza NALIA NGWENA SC yenye kukabiliana na kila changamoto.
Mambo ya Simba waachie wenye pesa zao walioziwekeza huko.
POLE SANAKama timu fulani ilivyodhalilika juzi kwa wahaya
1-1Kagera sugar vs Yanga matokeo please
Sijakusoma muda nikajua ni maswali ya utafutaji na kujitafuta, nashangaa nakutana na comment yako hii!! Upo serious kwamna umejiuzuru?MIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.
HIYO TIMU MAGUMASHI.
MBOVU MNO.
Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.
RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Sawa 😁😁😁Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.
Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.
Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.
Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.
Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.