Nilivyowaona Simba sc dhidi ya Mashujaa, TFF na Bodi ya ligi wasiposogeza Ratiba ya Simba sc vs Azam Kuna timu itadharirika

Nilivyowaona Simba sc dhidi ya Mashujaa, TFF na Bodi ya ligi wasiposogeza Ratiba ya Simba sc vs Azam Kuna timu itadharirika

Hawa marefa wawe wanaachana na mapenzi kwa timu nasoro mwinchumu kaona kibu kajibwaga kaweka tuta ila mashujaa wangefanya hivyohivyo wangekula card
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Kagera sugar vs Yanga matokeo please
 
Hawa marefa wawe wanaachana na mapenzi kwa timu nasoro mwinchumu kaona kibu kajibwaga kaweka tuta ila mashujaa wangefanya hivyohivyo wangekula card
Umejuaje nabii?
 
MIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.

HIYO TIMU MAGUMASHI.

MBOVU MNO.

Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.


RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Anzisha ya kwako.

Najua hampendi kuambiwa hivi, ila ukitaka timu nzuri unayoitaka wewe, anzisha ya kwako usajili na kuiendelsha unavyotaka .

Na ikibidi uwe kocha mchezaji kabisa.
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Nchi ngumu hii asikwambie mtu..!

Yaani wewe fikiria timu yako imepata sare ambayo ni mpaka pale Marefa walipoingilia kati La sivyo ungepoteza...!

Sasa badala ya kujadili timu yako na ule Usajili Wa Wale mabalozi wa Konyagi na wengine kina Gwede gwede mtu anakomaa na Timu iliyoshinda, tena Ugenini..!

Tutafika tu,ila tukiwa tumechoka

Na: Kinje Ketile
 
Nchi ngumu hii asikwambie mtu..!

Yaani wewe fikiria timu yako imepata sare ambayo ni mpaka pale Marefa walipoingilia kati La sivyo ungepoteza...!

Sasa badala ya kujadili timu yako na ule Usajili Wa Wale mabalozi wa Konyagi na wengine kina Gwede gwede mtu anakomaa na Timu iliyoshinda, tena Ugenini..!

Tutafika tu,ila tukiwa tumechoka..!
Nchi bado ngumu sana [emoji16]
 
MIMI NI SHABIKI MSTAAFU WA SIMBA.

HIYO TIMU MAGUMASHI.

MBOVU MNO.

Wala usipate Mateso ya kuiandika kila siku.


RIP. ZAKARIA HANSPOPE.
Sijakusoma muda nikajua ni maswali ya utafutaji na kujitafuta, nashangaa nakutana na comment yako hii!! Upo serious kwamna umejiuzuru?
Mimi mashauri ungerudi tu, maana Chama amesharudishwa kwenye timu.
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Sawa 😁😁😁
 
Back
Top Bottom