Nilivyowaona Simba sc dhidi ya Mashujaa, TFF na Bodi ya ligi wasiposogeza Ratiba ya Simba sc vs Azam Kuna timu itadharirika

Nilivyowaona Simba sc dhidi ya Mashujaa, TFF na Bodi ya ligi wasiposogeza Ratiba ya Simba sc vs Azam Kuna timu itadharirika

Yule wa juzi aliyewabeba utopolo na kuwanyima Kagera goli halali hamumtaki?
Kuna makosa ya kibinaadamu na Kuna makosa ya MPESA .
Usisahau na mahaba Niue na maelekezo kutoka kwa Alshabab "KALIA"
 
Kuna makosa ya kibinaadamu na Kuna makosa ya MPESA .
Usisahau na mahaba Niue na maelekezo kutoka kwa Alshabab "KALIA"
Kwa hiyo huyu aliyewanyima Simba penati baada ya Jobe kuchezewa rafu ni makosa ya Mpesa kutoka kwa Injinia?
 
Kwa hiyo huyu aliyewanyima Simba penati baada ya Jobe kuchezewa rafu ni makosa ya Mpesa kutoka kwa Injinia?
Ni makosa ya kibinaadamu tu hayo.
Makosa yasiyo ya kibinaadamu ni yale yanayotokea zaidi ya mara moja kwa mechi moja au mara kwa mara kwa mechi tofauti kwa mnufaika mmoja.
 
Ni makosa ya kibinaadamu tu hayo.
Makosa yasiyo ya kibinaadamu ni yale yanayotokea zaidi ya mara moja kwa mechi moja au au mara kwa mara kwa mechi tofauti kwa mnufaika mmoja.
Kwa hiyo makosa yakiinufaisha Simba yanakuwa makosa ya Mpesa lakini yakiiumiza Simba yanakuwa ya kibinadamu?
 
Mashabiki wa mangungu fc awajielewi kabisa Yani, kiufupi Awana timu kwa sasa ya kushindana na yanga na Azam kwa ubora uwanjani, awataki kukubali ukweli but ukweli unarefrect kinachotokea uwanjani, Azam Wana timu imara na wanao uwezo wa kushika nafasi ya pili bila shida yoyote, angalia ilikuwa ndo mechi yao ya kwanza kutoka mapumziko marefu ya mwezi mzima awakuwa na match fitness yoyote lakini wamefanya matukio hatari zaidi kwenye lango la Simba ambayo ilicheza mapinduzi yote, ikacheza FA, ikacheza mechi 2 za ligi kuu kwa maana tiyali walikuwa na match fitness ya kutosha kuliko wenzao but kiwango Chao ndio kile vipi wangekutana na Azam ile iliyopigwa na yanga goli 3-2 wangechomoka awa??
Na TFF walichezwa na machale wakaona waepushe dhahama nyingine waahirishe mechi ili angalau wajipange kwa kusajili kusitiri aibu na vurugu ambazo zingepelekea kina mangungu na wenzake kuishi kwa tabu!
Badala ya kuinanga timu yao kukosa ubora wao wanakimbilia kwa refa wakati marefa hao hao wamewapa point 9 za dhulma kwenye ligi, mechi ya singida, mechi ya Prison mechi ya kmc zote walibebwa sikuona kolo yeyote akiandamana kupinga ule ujinga Bali kauli zao zilikuwa ni " Kama mmeumia nendeni polisi""
Sasa inakuwaje waandamane na ata uwezo wa kumfunga uyo Azam Awana?
Viongozi wao wanacheza na akili zao walinunua mechi ya Tabora united ili kuwaridhisha waone wanacho kikosi imara, wakachukua matokeo ya mechi na Tabora wakaja nayo uwanjani wakijua kilichotokea kule ndio uhalisia kumbe ilikuwa ni kanyabwoya timu ni Ile Ile ya unga unga mwana!
Ujinga mwingine ni kuwaachia wajinga ujuana kwa vilemba!!
 
Ni makosa ya kibinaadamu tu hayo.
Makosa yasiyo ya kibinaadamu ni yale yanayotokea zaidi ya mara moja kwa mechi moja au mara kwa mara kwa mechi tofauti kwa mnufaika mmoja.
Hayo makosa ya kibinadamu kila mechi ndo upuuzi tusiotaka,makosa ya kibinadamu lakini kila mechi inacoast timu mbalimbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa mangungu fc awajielewi kabisa Yani, kiufupi Awana timu kwa sasa ya kushindana na yanga na Azam kwa ubora uwanjani, awataki kukubali ukweli but ukweli unarefrect kinachotokea uwanjani, Azam Wana timu imara na wanao uwezo wa kushika nafasi ya pili bila shida yoyote, angalia ilikuwa ndo mechi yao ya kwanza kutoka mapumziko marefu ya mwezi mzima awakuwa na match fitness yoyote lakini wamefanya matukio hatari zaidi kwenye lango la Simba ambayo ilicheza mapinduzi yote, ikacheza FA, ikacheza mechi 2 za ligi kuu kwa maana tiyali walikuwa na match fitness ya kutosha kuliko wenzao but kiwango Chao ndio kile vipi wangekutana na Azam ile iliyopigwa na yanga goli 3-2 wangechomoka awa??
Na TFF walichezwa na machale wakaona waepushe dhahama nyingine waahirishe mechi ili angalau wajipange kwa kusajili kusitiri aibu na vurugu ambazo zingepelekea kina mangungu na wenzake kuishi kwa tabu!
Badala ya kuinanga timu yao kukosa ubora wao wanakimbilia kwa refa wakati marefa hao hao wamewapa point 9 za dhulma kwenye ligi, mechi ya singida, mechi ya Prison mechi ya kmc zote walibebwa sikuona kolo yeyote akiandamana kupinga ule ujinga Bali kauli zao zilikuwa ni " Kama mmeumia nendeni polisi""
Sasa inakuwaje waandamane na ata uwezo wa kumfunga uyo Azam Awana?
Viongozi wao wanacheza na akili zao walinunua mechi ya Tabora united ili kuwaridhisha waone wanacho kikosi imara, wakachukua matokeo ya mechi na Tabora wakaja nayo uwanjani wakijua kilichotokea kule ndio uhalisia kumbe ilikuwa ni kanyabwoya timu ni Ile Ile ya unga unga mwana!
Ujinga mwingine ni kuwaachia wajinga ujuana kwa vilemba!!
Pumba
 
Back
Top Bottom