fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
1.JALADA LA KWANZA
Hii ni true story. Japo nina ndoa mbili lakini nimezaa watoto kadhaa nje ya ndoa.Hadithii hii ambayo ni ya kweli ni jinsi nilivyozaa mtoto wangu wa pili wa nje ya ndoa. Ni miaka 15 iliyopita nilikuwa mkuu wa taasisi moja isiyo ya kiserikali,ambayo makao yake yalikuwa nje ya Dar,basi kuna kibali tulikuwa tunakiomba kutoka wizara fulani,basi tulizungushwa sana,mwisho nikaona bora niende mwenyewe wizarani kuulizia.
Nikaenda mimi na dereva wangu mpaka Dar,tukalala hoteli na asubuhi yake tukaenda wizarani. Nikamkuta dada mmoja hivi nikamuuliza akanijibu kwa dharau sana kuwa maombi yako yamepotea.Kwa hasira nikamuuliza kwahiyo kama yamepotea,akanijibu kaombe upya.
Aisee nilichukia na kufoka vibaya,yule dada akanipandishia na akautukana weupe wangu kwa maana mie ni chotara,basi tulitukanana sana mpaka bosi mkuu akaja kutuamua.Ilimchukua boss saa 2 kutuweka sawa na akatupatanisha .Itaendelea baadae leo
Hii ni true story. Japo nina ndoa mbili lakini nimezaa watoto kadhaa nje ya ndoa.Hadithii hii ambayo ni ya kweli ni jinsi nilivyozaa mtoto wangu wa pili wa nje ya ndoa. Ni miaka 15 iliyopita nilikuwa mkuu wa taasisi moja isiyo ya kiserikali,ambayo makao yake yalikuwa nje ya Dar,basi kuna kibali tulikuwa tunakiomba kutoka wizara fulani,basi tulizungushwa sana,mwisho nikaona bora niende mwenyewe wizarani kuulizia.
Nikaenda mimi na dereva wangu mpaka Dar,tukalala hoteli na asubuhi yake tukaenda wizarani. Nikamkuta dada mmoja hivi nikamuuliza akanijibu kwa dharau sana kuwa maombi yako yamepotea.Kwa hasira nikamuuliza kwahiyo kama yamepotea,akanijibu kaombe upya.
Aisee nilichukia na kufoka vibaya,yule dada akanipandishia na akautukana weupe wangu kwa maana mie ni chotara,basi tulitukanana sana mpaka bosi mkuu akaja kutuamua.Ilimchukua boss saa 2 kutuweka sawa na akatupatanisha .Itaendelea baadae leo