Nilivyozidiwa kete na mganga wa kwenye kipeperushi

Nilivyozidiwa kete na mganga wa kwenye kipeperushi

Hela anazo huyo.
Kumbuka kasema ali ✈️ tu kwenda kula wkend Dar.
Hafai kulilia sabufa jamani 😂😂
Labda hiyo sabufa ilikuwa na kumbukumbu maalum kwake 😅

Naona Kuna mdau mwingine anasema, mtu mwenye hela na uwezo wa kupanda ndege to & fro hawezi Kaa nyumba ambayo mlango unafungwa na kufuli 😅😅😅
 
Labda hiyo sabufa ilikuwa na kumbukumbu maalum kwake 😅

Naona Kuna mdau mwingine anasema, mtu mwenye hela na uwezo wa kupanda ndege to & fro hawezi Kaa nyumba ambayo mlango unafungwa na kufuli 😅😅😅
Kweli lakini 🤣🤣

Au pengine alikaa hapo tu sababu si alisema kutoka kazini mpaka nyumbani boda buku. Itakuwa amekaza kukaa hapo sababu ya ukaribu
 
Kweli lakini 🤣🤣

Au pengine alikaa hapo tu sababu si alisema kutoka kazini mpaka nyumbani boda buku. Itakuwa amekaza kukaa hapo sababu ya ukaribu
Jamaa ni TISS, alikuwa kwenye majukumu maalum.

Ila nimejaribu kuimagine gheto linalofungwa kwa kufuli, itakuwa ni wapi huko? Maana vitasa vipo hadi vya elfu 7😅
 
Wala huyo hakuwa mganga,bali ni matapeli tu

aFu kaa ukijua hakuna dawa ya kumdhuru mwizi ambae kaiba kitu ambacho hakijawekewa ulinzi wa kichawi kabla
 
Na mtoa mada pia ana element za kichawi 😂
Subufa tu unapigia simu mganga, ingekuwa sound bar/ HT 😂😂
External yangu ndugu. Sabufa hata sikuwa naiwaza kabisa.
 
Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye hela anakaa nyumba inafungwa na KOFULI. Hilo ni geto tu la uswahilini
Hiyo ilikuwa 2018 mkuu. Halafu tunatofaitiana vipaumbele.
 
Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye hela anakaa nyumba inafungwa na KOFULI. Hilo ni geto tu la uswahilini
hahahahahahahaha mmq!
 
Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..NAKUHAKIKISHIA HAKUNA MTU MWENYE HELA ANAKAA NYUMBA INAFUNGWA NA KOFULI. Hilo ni geto tu la uswazi.
Ebaaanae😳😳😳😳umenifungua macho sasa. Et una hela unakaa nyumba haina geti ni mlango wa kawaida tu afu unafungwa kwa kofuli ambalo hata anaejifunza wizi anaweza tu kulifungua tena kwa urahisi kabisa
 
Ebaaanae😳😳😳😳umenifungua macho sasa. Et una hela unakaa nyumba haina geti ni mlango wa kawaida tu afu unafungwa kwa kofuli ambalo hata anaejifunza wizi anaweza tu kulifungua tena kwa urahisi kabisa
😅😅😅Ko nyie mnatakaje yani....
 
Back
Top Bottom