Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
Ulitapeliwa kiboya Sana ,Kama hawa wanaowauzia watu Mafuta,udongo ,keki na leso za upako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga ndio wali wao na maharageHalf american bamdogo Ngalikihinja njooni muone
Labda hiyo sabufa ilikuwa na kumbukumbu maalum kwake 😅Hela anazo huyo.
Kumbuka kasema ali ✈️ tu kwenda kula wkend Dar.
Hafai kulilia sabufa jamani 😂😂
Jamaa ni usalama. Alikuwa kwenye hiyo nyumba kwa majukumu maalum 😅Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye hela anakaa nyumba inafungwa na KOFULI. Hilo ni geto tu la uswahilini
Kweli lakini 🤣🤣Labda hiyo sabufa ilikuwa na kumbukumbu maalum kwake 😅
Naona Kuna mdau mwingine anasema, mtu mwenye hela na uwezo wa kupanda ndege to & fro hawezi Kaa nyumba ambayo mlango unafungwa na kufuli 😅😅😅
Jamaa ni TISS, alikuwa kwenye majukumu maalum.Kweli lakini 🤣🤣
Au pengine alikaa hapo tu sababu si alisema kutoka kazini mpaka nyumbani boda buku. Itakuwa amekaza kukaa hapo sababu ya ukaribu
Panaweza kuwa pakawaida tu.Jamaa ni TISS, alikuwa kwenye majukumu maalum.
Ila nimejaribu kuimagine gheto linalofungwa kwa kufuli, itakuwa ni wapi huko? Maana vitasa vipo hadi vya elfu 7😅
😀😀😀😀😀Wajinga ndio wali wao na maharage
Sema huyo mganga kazingua sana, Yani kamtapeli jamaa, lakini kaona haitoshi kamchomea gas yake kuchemsha kufuli 😅Panaweza kuwa pakawaida tu.
Kama Sakina kwa kina mshamba_hachekwi nyumba nyingi za kupanga milango ni ile ya mageti 😂😂 kufuli lazima
Subwoofer haikumuuma sana amefanya vyote kwa sababu ya external yakeNa mtoa mada pia ana element za kichawi 😂
Subufa tu unapigia simu mganga, ingekuwa sound bar/ HT 😂😂
Hiinstori ni fakeHela anazo huyo.
Kumbuka kasema ali ✈️ tu kwenda kula wkend Dar.
Hafai kulilia sabufa jamani 😂😂
Kula chuma hicho 😅Shukrani sana apostooo nimetia timuu ngoja nitulie nisome!
hahahahahahahaha mmq!Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye hela anakaa nyumba inafungwa na KOFULI. Hilo ni geto tu la uswahilini
Ebaaanae😳😳😳😳umenifungua macho sasa. Et una hela unakaa nyumba haina geti ni mlango wa kawaida tu afu unafungwa kwa kofuli ambalo hata anaejifunza wizi anaweza tu kulifungua tena kwa urahisi kabisaUmesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..NAKUHAKIKISHIA HAKUNA MTU MWENYE HELA ANAKAA NYUMBA INAFUNGWA NA KOFULI. Hilo ni geto tu la uswazi.