Zee la hovyo
Senior Member
- Apr 25, 2023
- 115
- 386
Unalipa tiketi ya ndege,unakula bata za kibabe, afu unaishi kwenye chumba chenye KOMEO[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hivi, wezi wako nimewaona huku Ukerewe mtaa wa sungura mmoja amejitwisha litivii likuuuubwa na mwingine anasabufa amechomeka flash wanazurura mtaani wakiwa wanapiga mziki😅😅😅Ko nyie mnatakaje yani....
Mtu anayepanda ndege hawezi kuandika Ko badala ya Kwa hiyo😅😅😅Ko nyie mnatakaje yani....
Kibaya zaid anakaa chumba kimoja🤣Ebaaanae😳😳😳😳umenifungua macho sasa. Et una hela unakaa nyumba haina geti ni mlango wa kawaida tu afu unafungwa kwa kofuli ambalo hata anaejifunza wizi anaweza tu kulifungua tena kwa urahisi kabisa
Wkati mwingine timu inashindwa unaona mtu kakasirika ukidhani ni shabiki kumbe kuna mengine... Na timu inayochana mkeka kizembe inakera kweli kweli. Ukiwa uwanjani kama una rungu unaweza kuwakung'uta wachezaji.Arsenal wamechana mkeka wangu
Mshukuru sana aliyeku tag kwani utajifunza na mapishi ya kuchemsha kofuli mpaka litokoteShukrani sana apostooo nimetia timuu ngoja nitulie nisome!
Hatare nanusuuuu hioo mkuu! Ngoja niimalizie nilipoishia kumbe kuna kuchemsha makufuli tena doh!Mshukuru sana aliyeku tag kwani utajifunza na mapishi ya kuchemsha kofuli mpaka litokote
Apostle unamchania mwanetuJamaa ni TISS, alikuwa kwenye majukumu maalum.
Ila nimejaribu kuimagine gheto linalofungwa kwa kufuli, itakuwa ni wapi huko? Maana vitasa vipo hadi vya elfu 7[emoji28]
Mkuu, ndege ni usafiri tuu kama unavyo chagua kupanda basi au boti. Hakuna tofauti kati ya mpanda ndege na mpanda basi. Mtu ambaye hajawahi kupanda ndege (kama wewe hapo) hudhani ndege wanapanda watu special mno. Hebu jichange basi upande kwenda popote hata one way tu ufute huo ukungu kwenye fikra zako. Ni rahisi sana kupata tiketi ya ndege kuliko hata ya basi. Ni wewe tuu na mfuko wako.Mtu anayepanda ndege hawezi kuandika Ko badala ya Kwa hiyo
Hapana mkuu, najaribu kujiuliza tu 😅😅Apostle unamchania mwanetu
Wanahisi kupanda ndege mpaka uwe na elimu,pia ujue lugha ya malkia.Mkuu, ndege ni usafiri tuu kama unavyo chagua kupanda basi au boti. Hakuna tofauti kati ya mpanda ndege na mpanda basi. Mtu ambaye hajawahi kupanda ndege (kama wewe hapo) hudhani ndege wanapanda watu special mno. Hebu jichange basi upande kwenda popote hata one way tu ufute huo ukungu kwenye fikra zako. Ni rahisi sana kupata tiketi ya ndege kuliko hata ya basi. Ni wewe tuu na mfuko wako.