Nilivyozidiwa kete na mganga wa kwenye kipeperushi

Ni hivi, wezi wako nimewaona huku Ukerewe mtaa wa sungura mmoja amejitwisha litivii likuuuubwa na mwingine anasabufa amechomeka flash wanazurura mtaani wakiwa wanapiga mziki
Ni zamani sana mkuu. Kama walikufa wote saivi ni mafuvu matupu huko waliko. Maana mara ya mwisho niliabiwa na wapili anahali mbaya. 🤣🤣
 
Pole sana mkuu, maisha tu tunakosea pia tunajifunza, kwa mwingine ni cha zamani kwako ni kipya,
 
lengo la comment ni matumizi sahihi ya lugha, sarcastically hiyo sentensi tukiiweka kwa Google translator server itazima kwa kutafuta maana ya Ko
 
lengo la comment ni matumizi sahihi ya lugha, sarcastically hiyo sentensi tukiiweka kwa Google translator server itazima kwa kutafuta maana ya Ko
Mi sikuwa naindikia google translator. Nilikuandikia wewe. Ndo maana ulielewa. Lengo la lugha ni kuwasiliana sio kulinda server za google zisizime.
 
Mwizi ni yule aliekuletea kipeperushi baaasi, au kama umeamua kutuletea chai ya baridi sawa
 
Dah..na alotuma kipeperushi ni huyohuyo mwizi. Yaani walikuibia vitu na bado wakajidai waganga ukawaongezea 55k.
Pole, wanasema mjini uje na akili tu pesa utazikuta zipo kibao. Jamaa wanatumia akili zao😀
 
Njaa mbaya. Komenti yako tu kwenye uzi wangu nikajua haupo sawa. Uzi wako huu umeakisi wewe ni mtu gani. Unahitaji msaada, and that's serious!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…