Niliwahi andika natafuta mganga

Sijaelewa
 
Sorry mleta mada unatumia bange gani?
 
Hii post na ile ya Pandora box iliyotafsiriwa na Google translate ni sawa

Patupu 😂😂 unavyozidi kusoma ndo unapoteza network
 
Hii kiswahili ya wamongolii na wagagagikoko, pole sana nakushauri endelea na maombi kwa mganga usirudi atazidi kukuharibu ubongo
 
Ila jamaa ana roho nzuri, mpaka kauchana nywele msukule wako. Tunaowaona kwenye movie huwa hawatazamiki🤣🤣
 
tumia mafuta ya mzeituni changanya na nazi na ukipata ka inj kidogo sema kama ni kweli mtu anayekufanyia ubaya anaweza kukata moto fasta hachukui hata raundi unaaanzakurudi kwenye reli, siis huku kigoma huwa watu hawatusumbui hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…