Niliwahi andika natafuta mganga

Niliwahi andika natafuta mganga

imenibid nirudie kusoma x3 ndo nielew. Kwa maelezo yake n kuwa kna kpnd alikua na shda na akaja hapa jf kutafta mganga, aliangaika sana mwishowe akampata mganga toka lindi, akafunga safar kwenda had huko. Uyo mganga akamwambia kua ana nyota kali sana ila anamuona kuna sehem kafungwa yupo kwaiyo had kumtoa hyo sehem yampasa anunue mbuzi wawili.yeye hakumuamin mganga akaamua kurud mjin. So akaamua kujihusisha na maombi na ajabu n kua kuna siku alikua kwny daladala kuna abiria akawa anashuka so kpnd gar imecmama pemben kuna car wash ya ndugu yake. Ajab akajion yy mwenyew yupo pale akiw kavaa gaun jeupe na surual nyeuc tena anakarbisha magar na kuelekeza sehemu za kupaki.So akawa anashangaa imekuaje yupo kwny gar af anajiona tena anakarbsha magar pale car wash. So akaanza kuamin alichoambiwa na mganga na anajilaumu why hakumuamini na angejua angenunua tu ao mbuz. Pia anamchukia aliefny hvo sbb kafanya mpk nw hajaolewa n.k
Duh kaka we ni genius
 
Watu wa wahumu Leo naomba umakini wenu ,nilienda lindi mbali sana kufuata msaada ila umegoma nikasema basi tu.

Nikaanza kuomba kiaina ila msiniambie bhana unaenda huko bado au sijaenda huko Kwa hao watu kweli siwezi sema hapana ila nilizunguka sana nikasema bullshit. Nikaanza maombi na kweli sijui yamesikika maana

Juzi hapa nilikuwa kwenye daladala nikaona karibu na car wash ya ndugu yangu Niko hapo pakuingilia naita wateja nakuwaelekeza pakupaki ili yaoshwe uzuri ni mtu alikuwa anashuka na kumlipa nauli konda maeneo hayo karibu na hiyo car wash nikaona vyema nimevaa gauni nyeupe na suruali nyeusi walahi sijaamini nimechoka tokea hiyo siku mpaka naleo Niko Njia panda nimeenda hospitali naumwa balaa Leo sioni vizuri . I think mshuko just imagine upo kwenye daladala na bado upo hapo unafanya kazi ya kuita wateja na kuwapa mwongozo . Huyo shetani nashangaaga ananifuatiaga sana Tena pale nikiwa nimetoka mahali kutibiwa kumbe nimejua natolewa hapo narudishwa Tena.

Nimeishiwa nguvu hapa naandika huenda ndio nakosa pumzi mazima , yaani nimeteseka kurudi kwenye track, napia najitajidi kila kazi kasoro kujiuza naambuliwa kuambiwa nimwanaume mwenye nyota Yako mie nilizania wachumba na piga vibuto weh kumbe ni huyu ndugu yangu kanifanya msukule aisee inauma halafu nimejiona nimechana nywele hadi Raha. Niko very nice naita wateja aisee. Ila sio msafi Wala nipo tu .

Hayo maombi ni 6g aisee acha tu.

Maisha haya unadhani hili kumbe lile My family wamewasaidia hao wajinga hao hadi wakamaliza shule ila wao Sasa wakatuchukulia maisha without knowing.

Sijui niende kwenye maombi au niende kuchukua nyota yangu Kwa yule jamaa walindi???

Maana ndio alisema mbuzi wawili,na mambo Mengi arudishe hiyo kitu mie nilikataa alisema Kuna mahali nipo aisee siku mwamini.

Ila sijaolewa Kisa wao umri umeenda Kisa wao muda wakujidai umepita Kisa wao Kwa maana nawajua wengi tu.

Ila Kwa huyu aisee ameniweza sana .
Endelea na maombi.tena kuanzia saa nane usiku,funga,shirikisha wachungaji.
Siku 30 nyingi,utaleta mrejesho.
Hapana chezea YESU wewe
 
Da! huyu mwamba atakuwa alisomea shule za ngumbaro.
 
tumia mafuta ya mzeituni changanya na nazi na ukipata ka inj kidogo sema kama ni kweli mtu anayekufanyia ubaya anaweza kukata moto fasta hachukui hata raundi unaaanzakurudi kwenye reli, siis huku kigoma huwa watu hawatusumbui hovyo
Sijaelewa naomba unielekeze vyema
 
Watu wa wahumu Leo naomba umakini wenu ,nilienda lindi mbali sana kufuata msaada ila umegoma nikasema basi tu.

Nikaanza kuomba kiaina ila msiniambie bhana unaenda huko bado au sijaenda huko Kwa hao watu kweli siwezi sema hapana ila nilizunguka sana nikasema bullshit. Nikaanza maombi na kweli sijui yamesikika maana

Juzi hapa nilikuwa kwenye daladala nikaona karibu na car wash ya ndugu yangu Niko hapo pakuingilia naita wateja nakuwaelekeza pakupaki ili yaoshwe uzuri ni mtu alikuwa anashuka na kumlipa nauli konda maeneo hayo karibu na hiyo car wash nikaona vyema nimevaa gauni nyeupe na suruali nyeusi walahi sijaamini nimechoka tokea hiyo siku mpaka naleo Niko Njia panda nimeenda hospitali naumwa balaa Leo sioni vizuri . I think mshuko just imagine upo kwenye daladala na bado upo hapo unafanya kazi ya kuita wateja na kuwapa mwongozo . Huyo shetani nashangaaga ananifuatiaga sana Tena pale nikiwa nimetoka mahali kutibiwa kumbe nimejua natolewa hapo narudishwa Tena.

Nimeishiwa nguvu hapa naandika huenda ndio nakosa pumzi mazima , yaani nimeteseka kurudi kwenye track, napia najitajidi kila kazi kasoro kujiuza naambuliwa kuambiwa nimwanaume mwenye nyota Yako mie nilizania wachumba na piga vibuto weh kumbe ni huyu ndugu yangu kanifanya msukule aisee inauma halafu nimejiona nimechana nywele hadi Raha. Niko very nice naita wateja aisee. Ila sio msafi Wala nipo tu .

Hayo maombi ni 6g aisee acha tu.

Maisha haya unadhani hili kumbe lile My family wamewasaidia hao wajinga hao hadi wakamaliza shule ila wao Sasa wakatuchukulia maisha without knowing.

Sijui niende kwenye maombi au niende kuchukua nyota yangu Kwa yule jamaa walindi???

Maana ndio alisema mbuzi wawili,na mambo Mengi arudishe hiyo kitu mie nilikataa alisema Kuna mahali nipo aisee siku mwamini.

Ila sijaolewa Kisa wao umri umeenda Kisa wao muda wakujidai umepita Kisa wao Kwa maana nawajua wengi tu.

Ila Kwa huyu aisee ameniweza sana .
Kweli dish limeyumba njoo in box tukufanyie maombi
 
Watu wa wahumu Leo naomba umakini wenu ,nilienda lindi mbali sana kufuata msaada ila umegoma nikasema basi tu.

Nikaanza kuomba kiaina ila msiniambie bhana unaenda huko bado au sijaenda huko Kwa hao watu kweli siwezi sema hapana ila nilizunguka sana nikasema bullshit. Nikaanza maombi na kweli sijui yamesikika maana

Juzi hapa nilikuwa kwenye daladala nikaona karibu na car wash ya ndugu yangu Niko hapo pakuingilia naita wateja nakuwaelekeza pakupaki ili yaoshwe uzuri ni mtu alikuwa anashuka na kumlipa nauli konda maeneo hayo karibu na hiyo car wash nikaona vyema nimevaa gauni nyeupe na suruali nyeusi walahi sijaamini nimechoka tokea hiyo siku mpaka naleo Niko Njia panda nimeenda hospitali naumwa balaa Leo sioni vizuri . I think mshuko just imagine upo kwenye daladala na bado upo hapo unafanya kazi ya kuita wateja na kuwapa mwongozo . Huyo shetani nashangaaga ananifuatiaga sana Tena pale nikiwa nimetoka mahali kutibiwa kumbe nimejua natolewa hapo narudishwa Tena.

Nimeishiwa nguvu hapa naandika huenda ndio nakosa pumzi mazima , yaani nimeteseka kurudi kwenye track, napia najitajidi kila kazi kasoro kujiuza naambuliwa kuambiwa nimwanaume mwenye nyota Yako mie nilizania wachumba na piga vibuto weh kumbe ni huyu ndugu yangu kanifanya msukule aisee inauma halafu nimejiona nimechana nywele hadi Raha. Niko very nice naita wateja aisee. Ila sio msafi Wala nipo tu .

Hayo maombi ni 6g aisee acha tu.

Maisha haya unadhani hili kumbe lile My family wamewasaidia hao wajinga hao hadi wakamaliza shule ila wao Sasa wakatuchukulia maisha without knowing.

Sijui niende kwenye maombi au niende kuchukua nyota yangu Kwa yule jamaa walindi???

Maana ndio alisema mbuzi wawili,na mambo Mengi arudishe hiyo kitu mie nilikataa alisema Kuna mahali nipo aisee siku mwamini.

Ila sijaolewa Kisa wao umri umeenda Kisa wao muda wakujidai umepita Kisa wao Kwa maana nawajua wengi tu.

Ila Kwa huyu aisee ameniweza sana .
 
Back
Top Bottom