Niliwahi kuhoji utimilifu wa PhD ya Mwigulu Nchemba, Dotto Biteko na Jafo. Hivi hili la wachina kuwa machinga linahitaji tume?

Niliwahi kuhoji utimilifu wa PhD ya Mwigulu Nchemba, Dotto Biteko na Jafo. Hivi hili la wachina kuwa machinga linahitaji tume?

Siku moja nikiwa kwa kikao fulani, kuna watu walihoji kuwa jambo xyz halikuhitajika kufanyika maana ni upotevu wa muda na rasilimali za taasisi. Kiongozi mmoja akasema kuna watu hawajaonja pesa ya taasisi nje ya mshahara, wacha nao wapate. Hapo ndo nikaelewa kumbe misururu ya matukio kwenye taasisi za serikali ni mbinu ya upigaji
 
Wanasiasa waliobahatika kupata PhD za MCHONGO kwenye utawala wa awamu ya Tano na sita ni hao watatu. Niliowataja hapo juu

Kiukweli upatikanaji wa PhD zao hata Profesa Mark Mwandosya alitia neno kama nilivyotia mie yakuwa nilikuwa na MASHAKA PhD zile zilikuwa ni za MCHONGO kwa maana ni za kununua.

Mimi ninajiuliza msomi wa ngazi ya PhD unawezaje kuuunda team kwa Ajili kuchunguza kama kweli Kuna wamachinga wa kichina Kariakoo na kwingineko?

Unawezaje kuuunda team kuchunguza yakuwa wanyasa ndo wanaongoza kuwa mahouse girl Masaki na Oystebay hapo Dsm kisa wanajua kingereza kuliko wazaramo dadazake na Jafo?!

Mh Rais anasema kuna changamoto hiyo hilo nalo mkalitizame 😂😀🥰wewe unalitizama kwa kuunda team?

Waziri mwenye PhD unashindwa siku Moja kwenda Kariakoo ukajionea kisa una PhD?! Hivi implication ya elimu zenu katika taifa ni hipi?

Kuna PhD nyingi serikalini lakini zipo kwa Ajili ya mshahara na kupanda kwa magred, na kutafuta pensheni kubwa baada ya kustaafu lakini Hazina tija kwa taifa ndio maana mtu mwenye masters au degree Moja anaweza kuwa msaidizi wa Rais na akamzuia Profesa ambae ni Waziri kumwona Rais this is Tanzania of today😂🤣😆😄😃😁😀😀😃😄😁😆😅😂🤣😭🤩I love U!
UNAULIZA MAJIBU?
 
Wachina kuna uwezekano wanatoa fungu kwenye chama kwasababu kuna picha nawaona sana kwenye vikao vikuu vya chama,wanakwenda kufuata nini au kumfuata nani na kwasababu zipi?

Wachina ni watoa rushwa wazuri sana ukicheka nao. Na kwa namna hili taifa limeoza kwa kansa ya rushwa usione ajabu wachina kuachiwa hadi wachimbe madini kwasababu wanajua wapi pa kupeleka mlungula na kutuliza cheche zisiwake.

Nadhani cha msingi ni raia wapambane wenyewe tu katika kutetea masilahi ya jamii yao na kulinda taifa letu. Hakuna kiongozi wa kulinda masilahi ya jamii na wanainchi kwasasa kwa jinsi walivyo hawa fisi maji.
 
Hapo bongo kila mtu anaweza kuwa na PHD.
Ikifika wakaongee utabubujikwa na michozi.
Sijui dokta, profesa,mwanasayansi, wakili msomi, yaani huwa mara kwa mara tukikutana sehemu nawatoa mbali sana.
Unakuta hajui hata jina lake.
Nchi la hovyo sana
 
Kazi nyingi zinafanywa na watu wa Stationery.Nimeshangaa sana,ni simu tu zinapigwa.
 
Mm kwa kweli nahoji Barabara ya Ntyuka Dodoma mbunge wake ni nani yaani nikichefuchefu, magari yanaharibika yeye anakula kiyoyozi tuu, yaan huyu asichaguliwe tena. Msimpe maisha akafaidi na watu wake huko wakati shida hatatui, barabara inajengwa miaka zaidi ya mitano haiishi, nachukia mibunge ya hivi jamani
 
Wanasiasa waliobahatika kupata PhD za MCHONGO kwenye utawala wa awamu ya Tano na sita ni hao watatu. Niliowataja hapo juu

Kiukweli upatikanaji wa PhD zao hata Profesa Mark Mwandosya alitia neno kama nilivyotia mie yakuwa nilikuwa na MASHAKA PhD zile zilikuwa ni za MCHONGO kwa maana ni za kununua.

Mimi ninajiuliza msomi wa ngazi ya PhD unawezaje kuuunda team kwa Ajili kuchunguza kama kweli Kuna wamachinga wa kichina Kariakoo na kwingineko?

Unawezaje kuuunda team kuchunguza yakuwa wanyasa ndo wanaongoza kuwa mahouse girl Masaki na Oystebay hapo Dsm kisa wanajua kingereza kuliko wazaramo dadazake na Jafo?!

Mh Rais anasema kuna changamoto hiyo hilo nalo mkalitizame 😂😀🥰wewe unalitizama kwa kuunda team?

Waziri mwenye PhD unashindwa siku Moja kwenda Kariakoo ukajionea kisa una PhD?! Hivi implication ya elimu zenu katika taifa ni hipi?

Kuna PhD nyingi serikalini lakini zipo kwa Ajili ya mshahara na kupanda kwa magred, na kutafuta pensheni kubwa baada ya kustaafu lakini Hazina tija kwa taifa ndio maana mtu mwenye masters au degree Moja anaweza kuwa msaidizi wa Rais na akamzuia Profesa ambae ni Waziri kumwona Rais this is Tanzania of today😂🤣😆😄😃😁😀😀😃😄😁😆😅😂🤣😭🤩I love U!
Ndugu yangu, siyo kwamba hawaelewi! Hiyo aina nyingine ya upigaji! Zitatumika bilioni nyingi tu kwa ajili ya hiyo tume! Hiyo ndiyo maana ya kula kwa urefu wa kamba!
 
Unawezaje kuuunda team kuchunguza yakuwa wanyasa ndo wanaongoza kuwa mahouse girl Masaki na Oystebay hapo Dsm kisa wanajua kingereza kuliko wazaramo dadazake na Jafo?!
Tuliposema kiingereza kiwe lugha ya kufundishia tangu Primary school ili hao house girls wanufaike kama hao wanyasa tulishambuliwa kwa maneno
 
Wanasiasa waliobahatika kupata PhD za MCHONGO kwenye utawala wa awamu ya Tano na sita ni hao watatu.PhD nyingine hii hap

PhD nyingine hii hapa
 
Wanasiasa waliobahatika kupata PhD za MCHONGO kwenye utawala wa awamu ya Tano na sita ni hao watatu. Niliowataja hapo juu

Kiukweli upatikanaji wa PhD zao hata Profesa Mark Mwandosya alitia neno kama nilivyotia mie yakuwa nilikuwa na MASHAKA PhD zile zilikuwa ni za MCHONGO kwa maana ni za kununua.

Mimi ninajiuliza msomi wa ngazi ya PhD unawezaje kuuunda team kwa Ajili kuchunguza kama kweli Kuna wamachinga wa kichina Kariakoo na kwingineko?

Unawezaje kuuunda team kuchunguza yakuwa wanyasa ndo wanaongoza kuwa mahouse girl Masaki na Oystebay hapo Dsm kisa wanajua kingereza kuliko wazaramo dadazake na Jafo?!

Mh Rais anasema kuna changamoto hiyo hilo nalo mkalitizame 😂😀🥰wewe unalitizama kwa kuunda team?

Waziri mwenye PhD unashindwa siku Moja kwenda Kariakoo ukajionea kisa una PhD?! Hivi implication ya elimu zenu katika taifa ni hipi?

Kuna PhD nyingi serikalini lakini zipo kwa Ajili ya mshahara na kupanda kwa magred, na kutafuta pensheni kubwa baada ya kustaafu lakini Hazina tija kwa taifa ndio maana mtu mwenye masters au degree Moja anaweza kuwa msaidizi wa Rais na akamzuia Profesa ambae ni Waziri kumwona Rais this is Tanzania of today😂🤣😆😄😃😁😀😀😃😄😁😆😅😂🤣😭🤩I love U!
ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Wanasiasa waliobahatika kupata PhD za MCHONGO kwenye utawala wa awamu ya Tano na sita ni hao watatu. Niliowataja hapo juu

Kiukweli upatikanaji wa PhD zao hata Profesa Mark Mwandosya alitia neno kama nilivyotia mie yakuwa nilikuwa na MASHAKA PhD zile zilikuwa ni za MCHONGO kwa maana ni za kununua.

Mimi ninajiuliza msomi wa ngazi ya PhD unawezaje kuuunda team kwa Ajili kuchunguza kama kweli Kuna wamachinga wa kichina Kariakoo na kwingineko?

Unawezaje kuuunda team kuchunguza yakuwa wanyasa ndo wanaongoza kuwa mahouse girl Masaki na Oystebay hapo Dsm kisa wanajua kingereza kuliko wazaramo dadazake na Jafo?!

Mh Rais anasema kuna changamoto hiyo hilo nalo mkalitizame 😂😀🥰wewe unalitizama kwa kuunda team?

Waziri mwenye PhD unashindwa siku Moja kwenda Kariakoo ukajionea kisa una PhD?! Hivi implication ya elimu zenu katika taifa ni hipi?

Kuna PhD nyingi serikalini lakini zipo kwa Ajili ya mshahara na kupanda kwa magred, na kutafuta pensheni kubwa baada ya kustaafu lakini Hazina tija kwa taifa ndio maana mtu mwenye masters au degree Moja anaweza kuwa msaidizi wa Rais na akamzuia Profesa ambae ni Waziri kumwona Rais this is Tanzania of today😂🤣😆😄😃😁😀😀😃😄😁😆😅😂🤣😭🤩I love U!
we bwege km huna PhD uuwezo wa kuhoji uhalali na ubora wake unaupata wapi?
 
Back
Top Bottom