Naona dogo kaamua kuoa sugar mamy. Heshima kwakeWakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Sahau yaliyopita Huyo ni shemeji yako.Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Uzuri nakupata ulimtia kidole bwanaWakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Sio Emmanuel Macron?Uko
Uko sahihi na dogo tunamuita Nikolas sakoz hope unanielewa Kama unafwatilia siasa.