Niliwahi kupigwa na head girl assemble, sasa hivi anaolewa na mdogo wangu

Niliwahi kupigwa na head girl assemble, sasa hivi anaolewa na mdogo wangu

Umri una tatizo gani?!

Kama anafaa oa..hata akuzidi miaka 10.

Kaka yangu mkubwa MKE wake anamzidi miaka 8 ..na wanamiaka 33..ya ndoa ..

Wamesha jukuu..
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Rais wa ufaransa wa sasa Emmanuel mkewe kamzidi miaka sita hao hapo!
Miaka sita tu, wakati bibie alikuwa mwalimu wa bwanake enzi hizo!
Kwa usahihi ni karibu miaka 24 sio 6. Mke kazaliwa 1953, mume, rais kazaliwa 1977! Mapenzi kizunguzungu!
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Okay vp sa hivi tako limezidi kunona au

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom