Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Ahsante sana brother SteveMollel vitu kama hivi usiache kuniita.
 
Ahsante sana Huuruly'iin ajaye baby zu

Ila hawa wawili nao ni km walikuwa wanatafutana hivi, yaani mama mkwe na mkwe wake.

Sitoshangaa hata huyu mke wa mgaya nae kuja kuwa mkwe katili.

Nawaza anavyoota ndoto mpaka za kuua.

Jamani wazazi watengezeni watoto wenu wawe waume na wake bora huko waendako kwenye maisha yao. Ukimuandaa mtu vizuri bila shaka nawe utakuwa vizuri na kinyume chake...

Sijamuona dada yetu Bantu Lady
 

Lovelovie leadermoe Unforgettable kitalembwa moneytalk Doctor G Santos06 Advicer one mistakes mmash Mafian cartel Restless Hustler
Antonio de Guzman episode 6 tayariii
 
hio sio 'ndoto' ila ni amiri alitumia mwili wake kumuua huyo mama,.....

si umesoma hapo alimuuliza 'kwa mikono yako?โ€™ alipojibu ndio ndipo amiri akaondoka,
sema huyo amiri inaonekana ni mwanga si wa nchi hii, [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ