Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Leo katutag Dr Restart

Labda atasingizia alilala hospital kwa zai ila ni funzo kuna baadhi ya ushosti uwe na mipaka maana huwa inawacost sana wanawake wengi
Hatari, nahisi hata yeye kutokumuona mgonjwa ulikua mpango, shida hata kama ulilala hospital ndio usipokee simu, yan nahisi ingenitokea mimi ningeshindwa kusema uongo ningejikuta nasema ukwel tu
 
Uchambuzi murua kabisa huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…